Habari zenu woote... Kwa heshima na tahadhima naomba nyimbo mbili za taifa langu - Tanzania, ambazo simesahaulika kidogo.
Nyimbo hizo ni:
1. Tazama ramani utaona nchi nzuri...
2. Tanzania nakupenda kwa moyo wote.
Ikiwa kama unajua link yoyote nipe au kama unazo naomba uziweke hapa au uni PM nikuje email yangu.
Nyimbo hizo ni muhimu kwangu, na kwa jamii yotte ili kujenga uzalendo. Mchana mwema.
Nyimbo hizo ni:
1. Tazama ramani utaona nchi nzuri...
2. Tanzania nakupenda kwa moyo wote.
Ikiwa kama unajua link yoyote nipe au kama unazo naomba uziweke hapa au uni PM nikuje email yangu.
Nyimbo hizo ni muhimu kwangu, na kwa jamii yotte ili kujenga uzalendo. Mchana mwema.