Ni post namba ngapi mkuu hayo majibu yako? Nimeyatafuta sana mpaka nimechoka!
DoneKwanza kabisa pole na tunafurahi kuwa nawe tena jukwaani mkuu.
Pili, ungefanya update kwenye uzi huu post ya mwanzo kabisa ingefaa zaidi.
Kila la kheri
Basi zote ni dawa maana imenisaidia sana,kumbe ukitumia kitu kwa Imani inaweza kukusaidiaSiyo yenyewe niskize mimi mrombo
Ijapokua ni dawa pia. Na waweza pia kujifukiza.. iyaka is different. Hili ni iyombo.
Tizama iyaka. Nimelipiga picha hapa shambani kwetu kimara. Karibu upate mbegu
Hii hata mkichinja mbuzi ni kiboko ya shombo unachemshia kwenye supuView attachment 1444774
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo umepona now?Basi zote ni dawa maana imenisaidia sana,kumbe ukitumia kitu kwa Imani inaweza kukusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu,na hongera kwa kupona,sasa karibu jamii forum tuchati kaka.Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.
Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.
Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.
Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.
Ngoja nipambanie hii pumzi.
UPDATE.....
Wakuu..... hata sasa niseme naendelea vizuri sana, na Mungu amenisimamia katika hili.
Asante kwa MAOMBI yenu yalio niinuwa.
Asante kwa michango na PM zenu zilizo nifariji na kunitia moyo.
Asante kwa comments zenu zilizo nijenga na kunitoa hofu pakubwa.
Asante kwa kuniweka mawazoni mwenu na kunijulia hali, najivunia zaidi nikisema mnanijali sana.
Asante kwa msaada wote ule mliotoa kwa ushauri na pia member ulie nitumia dawa.
Asante kwa kujumuika nami kimawazo na kiroho.
Asante kwa urafiki wenu.
Asante kwa upendo wenu.
ASANTE, ASANTE, ASANTE tena nasema ASANTE.
Na hivi ndivyo nilivyo pambana na dhoruba:-
1. Nilijifukiza nyungu kwa kutumia muarobaini mixer na mshana mixer na mkaratusi × 3 kwa siku
2. Nili kunywa juice ya tangawizi mixer na limao mixer na kitunguu swaumu × 3 kwa siku.
Kuna dawa nilitumiwa na nilikunywa vijiko 2 vya chai kila baada ya masaa 3.
Sasa nimekuwa mzima, sina mafua, sina maumivu, sina kikohozi, sina maumuvu ya kichwa, sina mamumivu ya mwili, asante Mungu nimerudi barabarani kama kawaida
Ahsante mkuu, basi tuchatPole mkuu,na hongera kwa kupona,sasa karibu jamii forum tuchati kaka.
Mkuu habari.Wala usiogope mkuu mimi toka ijumatatu ya wiki iliyopita nilikua hoi mno. Mbavu,kifua,joint,kichwa,homa na kikohoo
Niliogopa sana yaani kifua na koo vilivyokua vinauma nilijua naondoka asee. Ila leo niko poa kabisa.(Sikuambia yoyote juu ya hiki)
Cha msingi acha Hofu kabisa kama una Kwaya Video angalia sana zinaondoa temptation..
Chukua Baking Soda kijiko cha kula kimoja changanya kwenye glasi kunywa kabla ya kula chochote.Nimepona kifua na Mbavu kwa hili.
Chukua Tangawizi,Asali na liamao uwe unakunywa.
Chukua mnyaa/mnyara ubabue kwenye moto kifogo kisha tafuna meza maji yake kikohoo kitapona.
Au tafuna majani ya mbaazi kifua na Kikohoo vitapona
Mimi nimepona koo kwa mchanganyiko huo
View attachment 1436458
Sina ulcers kabisa.Niilitumia siku 3 tu..
Unasikia kama kitu kimekaa kooni.?
Unakohoa.?
Unasikia kama unakohoa kikohozi hakitoki..?
Una Ulcers.?
Na ulitumia mara ngapi kwa siku?Niilitumia siku 3 tu..
Unasikia kama kitu kimekaa kooni.?
Unakohoa.?
Unasikia kama unakohoa kikohozi hakitoki..?
Una Ulcers.?
Okey, asante. Ngoja niipate nianze mapema. Kwa navyojisikia nitaweka hata 2 spoonsAsubuhi tu...!
Nilikua nasaga tangawizi na limao nakunywa. Sasa hivi nasaga tangawizi peke yake nainywa plain. Naipasha moto tu then nainywa plain bila kitu. Nakunywa asubiluhi na jion. Hii nimeianza jana.Tafuna tangawizi mkuu kama hua hutafuni.
Pia jaribu kumeza punje za tangiwizi kila siku asubuhi na jioni kama utashindwa kutafuna.
Ikishindikana kwa tangawizi na Kitunguu swaumu sijui tena
Sawa mkuu asanteVina radha mbaya.. tumia kimoja tu.
Inatibu magonjwa mengi yakiwemo UTI..Acid..Sore throat..kusafisha meno nk nk
Nilikuaga natumia nikaachaga sijui kwann. Let me reschedule aisee. Asante mkuu. I will update. Barikiwa sanaOk sasa kua unameza japo punje 5 za kitunguu swaumu. Utanipa mrejesho
Vina radha mbaya.. tumia kimoja tu.
Inatibu magonjwa mengi yakiwemo UTI..Acid..Sore throat..kusafisha meno nk nk
Ha ha ha haSawa mkuu.. Nakutakia afya njema.
Mission ni kua wazima mpaka umri ule wa ahadi 70yrs
Mkuu vp unaendeleaje na iyo bicarbonate imekusaidia?Sina ulcers kabisa.
Sikohooi.
Yaani panauma balaa.
Nadhan kama kitu hivi kimekaa sijui.
Halaf mwanzon makohozi hayakua yakitoka. Sasa hivi yanatoka. Its as if pana kidonda hata sielewi.
Sent using Jamii Forums mobile app