Naomba niwaage

Pole mkuu,na hongera kwa kupona,sasa karibu jamii forum tuchati kaka.
 
Mkuu habari.
Naumwa hapa kooni mwezi sasa. Nimetumia antibiotics zote.
Nimetumia azuma twice wapi.
Pen v twice wapii.
Nikatunia ampiclox juzi imeisha ndo kwanza maumivu yanazidi.
Nikanunia na mouth wash sion msaada. Nimesukutua na maji ya chumvi wapi.
Jana nimeenda hospital wameniandikia power safe. Leo nimechoma ya 2. Bado 3. Hii baking powder uliitumia mara ngapi per day?
Naumia mno kwenye koo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niilitumia siku 3 tu..
Unasikia kama kitu kimekaa kooni.?
Unakohoa.?
Unasikia kama unakohoa kikohozi hakitoki..?
Una Ulcers.?
Sina ulcers kabisa.
Sikohooi.
Yaani panauma balaa.
Nadhan kama kitu hivi kimekaa sijui.
Halaf mwanzon makohozi hayakua yakitoka. Sasa hivi yanatoka. Its as if pana kidonda hata sielewi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuna tangawizi mkuu kama hua hutafuni.
Pia jaribu kumeza punje za tangiwizi kila siku asubuhi na jioni kama utashindwa kutafuna.
Ikishindikana kwa tangawizi na Kitunguu swaumu sijui tena
Nilikua nasaga tangawizi na limao nakunywa. Sasa hivi nasaga tangawizi peke yake nainywa plain. Naipasha moto tu then nainywa plain bila kitu. Nakunywa asubiluhi na jion. Hii nimeianza jana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…