Naomba nisaidiwe jamani mimi sina utaalamu na lift za ghorofa

ukiwa ndani ya lift angalia mbele mlango wa lifti kwa juu utaona inahesabu namba....kwa mfano uko chini unataka uepande juu ghorofa namba sita ndo unapoenda..nje ya lift minya kitufe cha juu kwa maana unapanda
ikifja na kufunguka igia halafu uwe unaangalia pale juu ya mlango
kana inapanda uutaona namba zinahesabu 1 2 3 4 5 ikifika 6 itasimama ndo utoke sasa umefika
lakini kuna baadhi ukiingia unakuta mtu au watu unaingia lakin kila mtu anaishia namba tofauti..minya namba yako
mfano unatoka ghotofa ya 6 unaenda ghorofa ya 4..nje ya lifti unaminya kitufe cha chini inaaana uashuka ikifunguka halafu unakita watu labda wanatoka ghorofa ya 10 wanaenda ghorofa ya 2...
sasa haihitaji wewe usuubiri had wafike ghorofa ya pili halafu ndo upande ghorofa ya nne..
ukiingia unaminya namba yako pale mbeke 4..thn itashuka itasimama ghorofa ya 4(uww unaangalia pale juu inavohesabu kushuka chini6 5 4 3 21)
sabb uliminya nne ikifika 4 itasimama ushuke sasa..halafu huku itaendelea na safati hadi ghorofa ya pili wanaposhuka wale ulowakuta.

la ndugu lifti sio kupanda na kushuka tu..kuna pia zinazienda kushoto na kulia..kazi jwako!
Nashukuru sana kwa maelezo yako ubarikiwe sana.Bado nilikuwa nasumbuliwa na kupanda na kushuka elimu ya awali hizo za msingi mtaendelea kunijuza wakt ntakapokuwa nimeweza kutumia lift.
 
Na kule ndani kuna button herufi kama G B na M

"G" is "Ground Floor". In some countries, the bottommost floor of a building is the ground floor, and the floor above that is the first floor. In the US, ground floor and first floor are used interchangeably, with the next floor up being the second floor.

"M" is "Mezzanine". This is sort of a "half floor" that doesn't extend across the entire span of the building and is therefore not numbered on its own.

"B" is "Basement", the floor below the ground. In buildings with multiple underground levels, the basements are numbered going downward, so the level closest to the ground level is the first basement "1B", the one below that is "2B", and so on.
Duuu hili kumbe somo si la mchezo
 
Vipi kama umeingia na kukuta mwenzio kabonyeza batani Na 4 ninamaana anaenda ghorofa Na 4 na wewe ukaingia na kubonyeza namba 6,itakuwa sawa au unasubiri hadi akafike na wewe ndo ubonyeze?
Ikifika 4 itapiga alarm wa nne atashuka then itafunga mlango na kuendelea na wewe wa sita so ukimkuta mwenzako just command namba yako
 
1.ukifika lifti utakuta vitufe kwa mje..kimoja kinaelekeza juu..kingine chini..inategemea wewe uko wapi chini au juu??
unaenda wapi?
mfano kama upo vhini kabisa unataka kupanda juu labda uende ghrofa ya 10 itabid ubonyeze kidude cha juu
(hapo ni kama umeipa maelekezo lift "njoo unichukue unipeleke juu" au napanda juu)
huwezi kuiahusha ama kuipandisha bali inatii unakotaka kwenda
itafika ukiibgia ndani sasa kwa pembeni utaona namba..bonyeza unapotalka kwenda ikupeleke.unaenda ghorofa ya kumi bonyeza 10 moja sifuri itaanza kupanda.na wakati inapanda angalia juu ya mlango namba za ghorofa zinaoneshwa..ikigika ghrfa ya kumi itasimama yenyewe mlango utafunguka wemyewe..wewe ndo utoke

2.unaweza jua kama utaninya kitufe mfano unapanda ghrfa ya 10 umeminya kidude cha kuelekea juu but unachukua mda kama sekunde chache kufunguka..ujue ilikua juu inashuka au ilikua katikat inampeleka mtu juu thn huyo mtu akifika akisguka inarud chini kukufuata.
lakin ukiwa nje hutumii lift huwez jua
 
ukiwa ndani ya lift angalia mbele mlango wa lifti kwa juu utaona inahesabu namba....kwa mfano uko chini unataka uepande juu ghorofa namba sita ndo unapoenda..nje ya lift minya kitufe cha juu kwa maana unapanda
ikifja na kufunguka igia halafu uwe unaangalia pale juu ya mlango
kana inapanda uutaona namba zinahesabu 1 2 3 4 5 ikifika 6 itasimama ndo utoke sasa umefika
lakini kuna baadhi ukiingia unakuta mtu au watu unaingia lakin kila mtu anaishia namba tofauti..minya namba yako
mfano unatoka ghotofa ya 6 unaenda ghorofa ya 4..nje ya lifti unaminya kitufe cha chini inaaana uashuka ikifunguka halafu unakita watu labda wanatoka ghorofa ya 10 wanaenda ghorofa ya 2...
sasa haihitaji wewe usuubiri had wafike ghorofa ya pili halafu ndo upande ghorofa ya nne..
ukiingia unaminya namba yako pale mbeke 4..thn itashuka itasimama ghorofa ya 4(uww unaangalia pale juu inavohesabu kushuka chini6 5 4 3 21)
sabb uliminya nne ikifika 4 itasimama ushuke sasa..halafu huku itaendelea na safati hadi ghorofa ya pili wanaposhuka wale ulowakuta.

la ndugu lifti sio kupanda na kushuka tu..kuna pia zinazienda kushoto na kulia..kazi jwako!
Lakini hivi nawezaje kujua kuwa kwa sasa lift iko juu au chini,kuna alama zipi zinaonyesha kuwa juu au chini?
 
Mleta uzi anawezakuwa anatania au akawa kweli anamaanisha alicho uliza. Ukweli lift sio tu kwa baadhi ya watu ila ni kitu kigeni kwa watu wengi sana.

Nitoe mfano kidogo, miaka ya nyuma kidogo katika nchi hii mtu alikuwa akishatoka Dar kuja huku tulikopewa jina mikoani utafikiri Dar ni nchi kama Amerika basi kama ni safari ya kuja Bara asingeweza kuona njiani jengo la ghorofa hata la ghorofa 5 mpaka afike Mwanza ndio aone jengo la CCM mkoa na Bugando hospital basi tofauti na hapo kuanzia Morogoro, Dodoma, Singida, Tabora, na Shinyanga majengo yenye ghorofa zadi ya 4 hayakuwepo hivyo hakukuwa na lift.

Sisi wazee wa MABUGANDO (Mwanza) kidogo tulipata uzoefu wa kutumia lift au kupanda ngazi mpaka floor ya 11.

Mpaka sasa TZ bado tuko nyuma sana kidunia kwa habari ya matumizi ya lift na si ajabu watu waliowahi kutumia lift hatufiki hata robo ya watanzania wote.
 
Mimi nna phobia ya lift, hapana asee nataka ngazi lift hapana


Hahaha mkuu umenikumbusha nilikuwa naogopa kupanda lift balaa. Kuna siku nilikuwa naenda TCU (Ile ya zamani pale Posta mpya) nikamchukua mlinzi wa ofisi anisindikize ili nisiwe peke yangu ndani ya lift. Kipindi hicho lift zilikuwa na historia ya kukwamakwama sana, nakumbuka marehemu Balozi Hassan Diria aliwahi kukwama ndani ya lift hali ilikuwa mbaya sana. Ila siku hizi uoga umeisha maana ninapo fanyia kibarua ni lazima nipande lift.
 
KWA LIFT ZA MAGHOROFA YA KAWAIDA

CHA KWANZA UKIFIKA KATIKA MLANGO WA LIFT UTAANGALIA MISHALE ILIYOPO KWA NJE ITAKUONYESHA KAMA LIFT IPO JUU AU IPO HAPO GROUND FLOOR

KAMA IPO JUU UTAIITA KWA KUBONYEZA BUTTON ILIYOPO MLANGONI UTAISUBIRI MPAKA IFIKE NA IKIFIKA ITAFUNGUA YENYEWE MLANGO

KAMA IPO HAPO GROUND FLOOR UTABONYEZA BUTTON THEN UTAINGIA NDANI NA UTABONYEZA BUTTON KAMA UTAITAJI KUFUNGA MLANGO LAKINI MARA NYINGI HUWA ZINAFUNGA MLANGO ZENYEWE


UKIWA NDANI HAITAONDOKA KAMA HUJAICOMMAND FLOOR UNAYOTAKA KWENDA SO KAMA NI FLOOR YA SITA UTABONYEZA BUTTON YENYE NUMBER 6 KAMA NI TISA UTAPRESS 9

IKIFIKA KWENYE DESTINATION FLOOR ITAFUNGUA MLANGO NAWE UTATOKA

PIA KUSHUKA UTAFUATA HATUA HIZO HIZO KUINGIA NA KUPRESS UNAENDA FLOOR GANI

ANGALIZO
KAMA MPO WATU WAWILI NA MNAENDA FLOOR TOFAUTI LET SAY MMOJA ANAENDA FLOOR YA 4 NA MWINGINE YA 5 BASI ITAANZA KUSHUSHA NNE KWA KUPIGA KENGELE NA KUWASHA TAA KWENYE BUTTON YENYE NAMBA NNE NA ITAENDELEA HIVOHIVO KWA FLOOR ZINGINE ONCE KAMA KUNA WATU WANASHUKA
Mkuu, umeeleza vizuri sana. Kwa nyongeza tu, kama mtu umeshafanikiwa kuingia ndani ya lift alafu ukabonyeza kitufe cha kufunga mlango bila kuchagua floor unayo kwenda kweli lift itasimama hapo hapo tu lakini kama ikitokea mtu mwingine yuko floor ya juu yako au chini yako kaiita basi itamfuata huko hivyo kukupeleka uwelekeo uliokuwa hajaukusudia
 
Mkuu cheza na mishale ya kupanda na kushuka na namba za ghorofa tu. Kufundisha hapa kazi ngumu

Note:
G=Ground floor
^kwenda juu

Milango hujifungua yenyewe
 
Angalia hizi picha hapa ndio kulivyo/ilivyo ni simple sana kutumia
Kwa nje kabisa..pembeni na mlangoni kunakuwa na button mbili za kubonyeza....kupanda juu au chini hizo ndio utabonyeza kama unataka kwenda juu au chini...ukibonyeza kama ilikuwa inashuka itasimama hapo na mlango utafunguka automatically utaingia.... Ukishaingia huko ndani utakuta button zenye namba inategemea na ghorofa lina floor ngapi...wewe utabonyeza namba husika mfano 5...ukishabonyeza hapo tulia mlango utajifunga...baada ya hapo mtasafirishwa hadi namba 5 mkifika hapo inasimama mlango unafunguka wenyewe mnatoka mnaenda sehemu husika
6d23f054f48bb080c8788af294054018.jpg

c7e9ce900459c73e3f76d20213f9d494.jpg
Afadhali, mana bila picha hapa hakuna maelewano
 
Hahaha mkuu umenikumbusha nilikuwa naogopa kupanda lift balaa. Kuna siku nilikuwa naenda TCU (Ile ya zamani pale Posta mpya) nikamchukua mlinzi wa ofisi anisindikize ili nisiwe peke yangu ndani ya lift. Kipindi hicho lift zilikuwa na historia ya kukwamakwama sana, nakumbuka marehemu Balozi Hassan Diria aliwahi kukwama ndani ya lift hali ilikuwa mbaya sana. Ila siku hizi uoga umeisha maana ninapo fanyia kibarua ni lazima nipande lift.
Mi huwa ni muoga tu.... mwaka juzi pale muhimbili naona mafundi wanatengeneza lift, baadae nesi ananiambia tupande lift teh mgonjwa niligoma nikajikongoja kwenye ngazi.
Huwa napanda ila uoga kama vile nisusu kwenye nguo, na napanda na mtu sio peke yangu
 
KWA LIFT ZA MAGHOROFA YA KAWAIDA

CHA KWANZA UKIFIKA KATIKA MLANGO WA LIFT UTAANGALIA MISHALE ILIYOPO KWA NJE ITAKUONYESHA KAMA LIFT IPO JUU AU IPO HAPO GROUND FLOOR

KAMA IPO JUU UTAIITA KWA KUBONYEZA BUTTON ILIYOPO MLANGONI UTAISUBIRI MPAKA IFIKE NA IKIFIKA ITAFUNGUA YENYEWE MLANGO

KAMA IPO HAPO GROUND FLOOR UTABONYEZA BUTTON THEN UTAINGIA NDANI NA UTABONYEZA BUTTON KAMA UTAITAJI KUFUNGA MLANGO LAKINI MARA NYINGI HUWA ZINAFUNGA MLANGO ZENYEWE


UKIWA NDANI HAITAONDOKA KAMA HUJAICOMMAND FLOOR UNAYOTAKA KWENDA SO KAMA NI FLOOR YA SITA UTABONYEZA BUTTON YENYE NUMBER 6 KAMA NI TISA UTAPRESS 9

IKIFIKA KWENYE DESTINATION FLOOR ITAFUNGUA MLANGO NAWE UTATOKA

PIA KUSHUKA UTAFUATA HATUA HIZO HIZO KUINGIA NA KUPRESS UNAENDA FLOOR GANI

ANGALIZO
KAMA MPO WATU WAWILI NA MNAENDA FLOOR TOFAUTI LET SAY MMOJA ANAENDA FLOOR YA 4 NA MWINGINE YA 5 BASI ITAANZA KUSHUSHA NNE KWA KUPIGA KENGELE NA KUWASHA TAA KWENYE BUTTON YENYE NAMBA NNE NA ITAENDELEA HIVOHIVO KWA FLOOR ZINGINE ONCE KAMA KUNA WATU WANASHUKA
Haya ndio maelezo ambayo mtoa post ataridhika kabisa.barikiwa mkuu...
 
Mi huwa ni muoga tu.... mwaka juzi pale muhimbili naona mafundi wanatengeneza lift, baadae nesi ananiambia tupande lift teh mgonjwa niligoma nikajikongoja kwenye ngazi.
Huwa napanda ila uoga kama vile nisusu kwenye nguo, na napanda na mtu sio peke yangu

Pole ila uwezejano wa kuushinda uoga upo.
 
Lakini hivi nawezaje kujua kuwa kwa sasa lift iko juu au chini,kuna alama zipi zinaonyesha kuwa juu au chini?
Mkuu! Kwa kawaida vile vitufe vya nje vya UP/DOWN huwa vinawaka!hivyo kama lift iko juu ya floor ulipo wewe basi kitufe cha Up kitakuwa kinawaka! Na kwa yule aliye juu ya eneo ilipo lift basi kitufe cha Down kitakuwa kinawaka!just that!
 
Lakini hivi nawezaje kujua kuwa kwa sasa lift iko juu au chini,kuna alama zipi zinaonyesha kuwa juu au chini?
Pana namba huwa zinasoma pale nje mahali lift ipo. Yaani ikiwa no 7 itaonesha 7 na inavyoendelea kushuka au kupanda utajua tu ule mtiririko wa namba unavyoenda. Hata ikisimama kwa muda ghorofa fulani utajua coz utaona namba imeganda kidogo.
 
Back
Top Bottom