Sijui kama huwa wanaelewa maana ya kula kwa jasho
sio kulalamika.. nyinyi hamna aibu kuomba omba...
hata hamjishtukiiii kuomba omba kama matonya..
sio tu nawajibu sina bali na mahusiano mengi yanaishia hapo kwenye uomba omba tu...
mtu hajaolewa ameshaanza mizinga kibao je akiolewa si itakuwa balaaa
Ha ha ha ha aangalie zake tbc lolwataelewa wapi na wanataka kulelewa!!
yaani mizinga haiishi ng'ooo, wakitaka watoe wenyewe kabla hawajaombwa.
Nione aibu kwani shida zimenionea aibu mimi? hakufuatwa ni kiranga chake ndio kinamponza, angejituliza aangalie hiyo tbc yangemkutia wapi hayo!!
Cha kumsaidia labda ni hiki tu.....wewe mbona huoni aibu wala hujistukii kuomba omba papuchi ambazo huna ubavu nazo? Mtaka cha uvunguni sharti ainame babu we, au inua kitanda ila bado kazi iko pale pale utainama tu kukichukua.
habari dada zangu..
kuna kitu sikielewi sana..
mfano unakutana na mtu may be anakutongoza au bado he is on process mnajuana.. mnakuwa marafiki.. anakukaribisha kwake.. mnapika na kupakua na kuenjoy. mnamchukuliaje?
mfano ana ka vitz ka mkopo.. kajitahid kapanga ki appartment ka 2 rooms, ili ndugu na jamaa wakitoka bush kuja mjini matibabu wasikose room yao.. may be ana ka dstv kidogo analipia hata bomba package ya 23,500 ili asikose tbc na ss bitz.. je mnahisi huyu mtu ana hela sana lazima mumpige mizinga..
maana mtu mnakutana leo hamjuani.. kesho una shida ya laki 3 kweli??
hamna huruma hata anavyotafuta kodi ya nyumban kwake, msosi, mafuta ya kivitz chake na hapo hapo ujenz wa kajumba kake chanika huko..
kiukweli mnatukwaza vijana sema wengi wetu tunashindwa tu kuwaambia... muwe na huruma na aibu pia kuomba omba
kila mwanamke unaekutana nae ana shida tu zamani nilijua wanachuo tu.... hata awe anafanya kazi ni yale yale tu.. why this?????
mtu anatafuta sababu tu anaweza kukwambia mama anaumwa nahitaj hela, mbona sisi wanaume mama zetu wakiumwa tunapambana kuwapa huduma kimya kimya...
Sas kipoz npe mawasiliano nije nikuoeMim kuomba hela siwez nafight niwe na zangu naolewa tu kwaajili ya kuanzisha familia na kua na mwenza lkn si kwaajil ya kujistir na shida
Atakuwa nshomile huyo.hahaaaaaa hata mimi nimeliona hilo kwa kweli sijui kabila gani au atakuwa mtu mfupi
Kama hutaki kuombwa Hela tafuta majimama na majidada yenye Hela yapo sana Piga Gym six pack vaa T shirt za Kubana Kifua
Cha ajabu Matajir nao wangongewa Psychology ya wanawake haha nomaa