sayyi
New Member
- May 7, 2025
- 4
- 7
Jamani ndugu zangu wana jf nimekuwa nikijaribu kufuatilia biashara ya vileo al maarufu pombe Kali naona katika industry ya biashara inawapatia sana watu faida.
Mwenye ujuzi anisaidie maswali haya
1.Je kabla ya kufanya biashara hii ni taratib Gani zinatakiwa kufuatwa ?
2. Je mtaji kima Cha chini ni sh ngapi?
3. Je wateja wengi wanapenda nini?
4. Je ni ubunifu Upi unaweza kuongeza tija kwenye biashara?
Mwenye ujuzi anisaidie maswali haya
1.Je kabla ya kufanya biashara hii ni taratib Gani zinatakiwa kufuatwa ?
2. Je mtaji kima Cha chini ni sh ngapi?
3. Je wateja wengi wanapenda nini?
4. Je ni ubunifu Upi unaweza kuongeza tija kwenye biashara?