baina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 219
- 59
ibara ya 8 ya katiba hiko wazi juu ya nani ana mamlaka ya mwisho ya nchi hii, na rais aliapa kulinda hilo. je? kama sisi wananchi mpaka sasa hatutaki yeye aandae utaratibu wa kutunga katiba mpya bali sisi wananchi ndo tujipangie na yeye hataki kutusikiliza havunji katiba ya sasa ibara ya 8? au hajui? naomba kuwasilisha.:hug::hug::hug: