Naomba mwongozo: Nahitaji kufanya masomo ya phd.

Criterion

JF-Expert Member
Jan 8, 2008
11,798
11,881
Ndugu zangu, najua hapa jamvini kuna watu wa taaluma na uelewa mbalimbali hivyohadi kufikia uamuzi huu nimeona kabisa kwamba, nitapata watu wenye kuelewa na wanaoweza kunisaidia katika hitaji langu hili.

Ninahitaji kufanya masomo ya PHD kuanzia mwezi wa tisa mwaka huu, katika chuo chochote Canada ama nchi yoyote ya Scandinavia. Maeneo nipendayo ni International Development au Public Policies, lakini research yangu ningependa sana iwe katika "Micro-enterprise Development, Micro-Finance, Development Finance, Development Economics au Economic Development.

Tatizo langu kubwa ni kwamba ninaishi kijijini ambako sina taarifa ni kwa namna gani naweza kupata supervisor, funds na hata admission.

NAOMBA ANAYEELEWA ANIPE MWONGOZO.

NATANGULIZA SHUKRANI.
 
Una masters ya nini mamake huwezi kuprofess hadi umemaster, hizo kozi ulizo ziziandika hapo juu kuna nyingine haziingiliani kwenye master's level! Tuanzie hapo!
 
Ndugu zangu, najua hapa jamvini kuna watu wa taaluma na uelewa mbalimbali hivyohadi kufikia uamuzi huu nimeona kabisa kwamba, nitapata watu wenye kuelewa na wanaoweza kunisaidia katika hitaji langu hili.

Ninahitaji kufanya masomo ya PHD kuanzia mwezi wa tisa mwaka huu, katika chuo chochote Canada ama nchi yoyote ya Scandinavia. Maeneo nipendayo ni International Development au Public Policies, lakini research yangu ningependa sana iwe katika "Micro-enterprise Development, Micro-Finance, Development Finance, Development Economics au Economic Development.

Tatizo langu kubwa ni kwamba ninaishi kijijini ambako sina taarifa ni kwa namna gani naweza kupata supervisor, funds na hata admission.

NAOMBA ANAYEELEWA ANIPE MWONGOZO.

NATANGULIZA SHUKRANI.
Aisee huko kijijini inabidi utafute mawasiliano vinginevyo ni ndoto na wakati ni sasa. Cha kufanya tafuta chuo ambacho wanachafanya research inayoendana na kitu unachopenda. Kisha establish contact na supervisor mmoja jitambulishe na umwambie uko interested na nini. Muonyeshe proposal, kisha apply. Ukipata admission ndio issue ya funding inaanza. Kwa bahati mbaya PhD si kama master degree unavyoapply unless utafute vyuo vya coursework.
 
Back
Top Bottom