Naomba mwenye taarifa kuhusu mafunzo kwa vitendo(BTP)

gast123

Member
Feb 25, 2017
36
19
EtI field (BTP) kwa walimu mwaka huu haipo?Naomba mwenye taarifa yoyote kuhusu hilo atufahamishe wadau
 
shuleni kwetu, (mwanza) tumepokea vijana wa butimba tc, mwaka wa kwanza. ni wale vilaza wa udom
 
ukute wanakuzidi matokeo, af unawaita vilaza...
aliyewaita vilaza ni mkuu wa nchi, hata hivyo ni vilaza kweli kweli. form4, DVS iii atamfundisha nani?

ndo maana wakafurushwa udom, wakabakizwa wenye one na two!!

eti wanajiita wanasayansi kwa kupata vi CCC vya sijui sayansi. walipaswa wakavunje mapamfuleti ya advance kuondoa ukilaza wao
 
mkuu hao vilaza vpi competence yao ktk kufundisha ikoje wanjwez ?
madogo hawajui kitu, mbali ya kushindwa kuandaa somo lkn hata material ya f1 hawawezi kutiririka.

MTU hawezi hata kujua muda wa town x iliyopo 45°w kwa kulinganisha na east Africa!!


wanapaswa kupigwa msasa wa adabu
 
aliyewaita vilaza ni mkuu wa nchi, hata hivyo ni vilaza kweli kweli. form4, DVS iii atamfundisha nani?

ndo maana wakafurushwa udom, wakabakizwa wenye one na two!!

eti wanajiita wanasayansi kwa kupata vi CCC vya sijui sayansi. walipaswa wakavunje mapamfuleti ya advance kuondoa ukilaza wao
nafkri hujui khs mitaala ya tz!! kama hao unaona siyo sawa kwenda kufundisha vp kuhusu m2 aliepata DCC,, Kisha anaenda kusoma diploma ya clinical medicine na anarudi kukutibu!!
 
Back
Top Bottom