Mkuuet field(BTP) kwa walimu mwaka huu haipo?Naomba mwenye taarifa yoyote kuhusu hilo atufahamishe wadau
mkuu hao vilaza vpi competence yao ktk kufundisha ikoje wanjwez ?shuleni kwetu, (mwanza) tumepokea vijana wa butimba tc, mwaka wa kwanza. ni wale vilaza wa udom
hahaahaaaahaaaa!!!shuleni kwetu, (mwanza) tumepokea vijana wa butimba tc, mwaka wa kwanza. ni wale vilaza wa udom
broo acha kupotoshaa field kwa 1 yr ipo ,.Mkuu
Ipo ila
kama upo chuo ndokwanza mwaka wa kwanza field hutofanya
hakuna field kwa 1st year
Mkuubroo acha kupotoshaa field kwa 1 yr ipo ,.
Mkuu
ngoja waje wenyekujua vzur watakujuza[/QUOT labda nmeelewa vibaya,ni kwa diplomaa au dgrii
Vilaza wenye divission 1...3. Basi kama na wewe una 1 nikilaza...[HASHTAG]#bongo[/HASHTAG] mnambwembweshuleni kwetu, (mwanza) tumepokea vijana wa butimba tc, mwaka wa kwanza. ni wale vilaza wa udom
Wako deep zaid ya newton theories...mkuu hao vilaza vpi competence yao ktk kufundisha ikoje wanjwez ?
shuleni kwetu, (mwanza) tumepokea vijana wa butimba tc, mwaka wa kwanza. ni wale vilaza wa udom
aliyewaita vilaza ni mkuu wa nchi, hata hivyo ni vilaza kweli kweli. form4, DVS iii atamfundisha nani?ukute wanakuzidi matokeo, af unawaita vilaza...
madogo hawajui kitu, mbali ya kushindwa kuandaa somo lkn hata material ya f1 hawawezi kutiririka.mkuu hao vilaza vpi competence yao ktk kufundisha ikoje wanjwez ?
nafkri hujui khs mitaala ya tz!! kama hao unaona siyo sawa kwenda kufundisha vp kuhusu m2 aliepata DCC,, Kisha anaenda kusoma diploma ya clinical medicine na anarudi kukutibu!!aliyewaita vilaza ni mkuu wa nchi, hata hivyo ni vilaza kweli kweli. form4, DVS iii atamfundisha nani?
ndo maana wakafurushwa udom, wakabakizwa wenye one na two!!
eti wanajiita wanasayansi kwa kupata vi CCC vya sijui sayansi. walipaswa wakavunje mapamfuleti ya advance kuondoa ukilaza wao