Naomba mwenye kuuza baiskeli used from China

Naomba mwenye kuuza baiskeli used from China

Joined
Dec 5, 2012
Posts
36
Reaction score
9
Msaada,

Naomba mwenyewe kuuza baiskeli used from China kwa bei ya jumla au mwenyewe uelewa wa hii biashara anisaidie nielewesha, nataka kuanza kuuza baskeri lakini sijajua nitapata wapi kwa bei rahisi.

Niko hewani 0784512194
 
mada hiz huww hawajibu, ila uliza uchebe kampiga shilole, watacooment mpaka ushangae....kwa upande wangu ngoja nikufanyie kautafit ndugu nitakupa jibu
 
Back
Top Bottom