Naomba mwenye connection ya viwandani - Dar es Salaam

hamza mahundu

Member
Dec 20, 2018
58
114
Habari wanajamii forums.

Kwa wakazi wa daresalam mabibo na maeneo ya jirani, Mwenye kufahamu au connection jinsi ya kupata kazi za viwandan iwe kibarua au ajira ya kudumu. Ni viwanda vipi vinatoa ajira na siku na muda wa kwenda kuomba kazi pia nini kinahitajika uendapo maeneo hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom