ukifungua accont kwenye UDOM OAS utalipia online fuata maelekezo tu.na kwenye oas kuna sehemu kabisa ya payment
ukifungua accont kwenye UDOM OAS utalipia online fuata maelekezo tu.na kwenye oas kuna sehemu kabisa ya payment
namba zao ukipiga toka asubuh zipo bize na ikiita ujue haipokelewiNisaidie namba zao please nami nina shida hiyo. Tusaidiane kuwatafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu kwaio ukiwekewa namba apa ukaambiwa hio apo ya udom unatuma?Ingia website ya Chuo www.udom.ac.tz utakuta kialama chekundu Apply here uclick hapo Utatengeneza Profile yako Ila kuna kipengele kimoja cha malipo kuna Options mbili TigoPesa NA CRDB tumia tigo Pesa ila Uwe very sharp kdg .... Kwa msaada zaidi Karibu Mkuu....
KIMEO CHANGU
Ingia katikajamani nataka kufanya application chuo cha udom kwa ngaz y
Mkuu malipo ni sh. ngapi?Ingia website ya Chuo www.udom.ac.tz utakuta kialama chekundu Apply here uclick hapo Utatengeneza Profile yako Ila kuna kipengele kimoja cha malipo kuna Options mbili TigoPesa NA CRDB tumia tigo Pesa ila Uwe very sharp kdg .... Kwa msaada zaidi Karibu Mkuu....
KIMEO CHANGU
Kumbe ilishuka? Maana walikuwa wanasema 30,000. Na kulipia ni kupitia tigo pesa na crdb tu? Mpesa haiendi?
Okee. Kumbe wanakata moja kwa mojaCha msingi uandike namba yako afuuu mwisho wa siku wao watakutumia passcode wewe unaichukua hiyo code unaandika kwenye field required wao wana kata chao mimi nilikuwa ma 50k kwenye applications nikafanya kama hapo juu nkakatwa 10k ...
Ni hayo tuuuu
Jamani naomba kuuliza kwenye system ya UDOM online application unapojaza ikifika katika ku-select applicaton level inatokea option moja tu ya graduate
Kama kuna mtu anafahamu namna ya ku apply undergraduate naomba anifahamishe tafadhali
ASANTENI