Mjomba kazola
Member
- Mar 25, 2017
- 33
- 14
System yao inazinguaApplication kwa UDOM ni online, na imefunguliwa leo.
Tembelea website yao www.udom.ac.tz. Utajisajili (register) halafu utaendelea na application yako. Malipo utayafanya kwa TigoPesa/MPesa nk.
Kila la Heri
Mbona option ya malipo ni kwa tigopesa na CRDB tu?Application kwa UDOM ni online, na imefunguliwa leo.
Tembelea website yao www.udom.ac.tz. Utajisajili (register) halafu utaendelea na application yako. Malipo utayafanya kwa TigoPesa/MPesa nk.
Kila la Heri
Malipo ni shingapi bado ni sintofahamu hapaApplication kwa UDOM ni online, na imefunguliwa leo.
Tembelea website yao www.udom.ac.tz. Utajisajili (register) halafu utaendelea na application yako. Malipo utayafanya kwa TigoPesa/MPesa nk.
Kila la Heri
30,000/=
Nisaidie namba zao please nami nina shida hiyo. Tusaidiane kuwatafutahabari zenu ndugu zangu
samahani naomba kujua kama kuna mtu ambaye amekwisha
fanya application ktk chuo kikuu cha UDOM
anipe muongzo maana nimeshafungua account
lkn nashindwa kuendelea
na ukupiga namba zao mda wote zpo busy
tafadhali naomben msaada wenu...
ASANTEN
System yao naona kidogo haipo poa maana kuna wakat nilipokuwa naweka index no. inazingua labla nijaribu tena baadayhabari zenu ndugu zangu
samahani naomba kujua kama kuna mtu ambaye amekwisha
fanya application ktk chuo kikuu cha UDOM
anipe muongzo maana nimeshafungua account
lkn nashindwa kuendelea
na ukupiga namba zao mda wote zpo busy
tafadhali naomben msaada wenu...
ASANTEN
Wana option ya kufanya malipo kwa MPESA?
0686287853Nisaidie namba zao please nami nina shida hiyo. Tusaidiane kuwatafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hatua hii kuwa mwangalifu sana. Hakikisha unatuma kutumia namba isiyokuwa na shaka. Ingia kwenye website yao na tafuta hiyo namba. Wasije wakakuliza.