Naomba msaada

Shukran sana mkuu umenijenga
 
uvivu wa kulima unakimbilia mjini..... sikuhizi sio lazima kipaji kikutoe angalia pale unapoweza ingiza kipato ukisubiri hicho kipaji utakesha...... alafu mwanaume hakimbii familia au na ww baba yako alikimbia..... mke atatombwa na kaka yako na wanao wanaweza lawitiwa kisa uvivu wa kifikiri na uoga wa maisha .



usiwe mjinga rudi kapambanie pale ulipokulia ndipo utoke kujitafuta
 
Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…