Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
- Thread starter
- #21
Kuna watu bado mnazungumzia makabila??? Aisee!!!!!!!!!!!!!!
Mie umenikwaza tena sana...................
Mwambie Akimaliza kuchunguza wameru, aende kwenye dini, akimaliza achunguze warefu, wafupi wanene wembamba akimaliza achunguze weupe weusi aendelee na uchunguzi wake ataelewa.......................
Ujumbe umefika .... ila usifikiri watu wote wanabadilika kama wengine!!! wengine wana imani na misimamo yao