Naomba msaada wenu wa maswali ya hesabu

Naomba msaada wenu wa maswali ya hesabu

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,251
Reaction score
2,131
Habari wana jf.

Mtoto wa mwenye nyumba amefanya mtihani wa pre national juzi.Sasa Katika mtihani huo kulikuwa na swali ya mathematics ambalo hata walimu wake wamelishindwa dogo na Mama ake wameniletea Mimi.
Nimeyapiga hayo maswali lakini nimechemka sasa nimeyaleta kwenu.

Fanya weka na njia hapo chini.Maswali Yote mawili
IMG_4871.JPG
 
Habari wana jf.

Mtoto wa mwenye nyumba amefanya mtihani wa pre national juzi.Sasa Katika mtihani huo kulikuwa na swali ya mathematics ambalo hata walimu wake wamelishindwa dogo na Mama ake wameniletea Mimi.
Nimeyapiga hayo maswali lakini nimechemka sasa nimeyaleta kwenu.

Fanya weka na njia hapo chini.Maswali Yote mawiliView attachment 1174267
Kwenye duara hilo x = 260
 
Nipo kwenye boat mkuu ila hilo la 32 ningekupigia fasta sna
 
32. EC=6
Habari wana jf.

Mtoto wa mwenye nyumba amefanya mtihani wa pre national juzi.Sasa Katika mtihani huo kulikuwa na swali ya mathematics ambalo hata walimu wake wamelishindwa dogo na Mama ake wameniletea Mimi.
Nimeyapiga hayo maswali lakini nimechemka sasa nimeyaleta kwenu.

Fanya weka na njia hapo chini.Maswali Yote mawiliView attachment 1174267
 
Habari wana jf.

Mtoto wa mwenye nyumba amefanya mtihani wa pre national juzi.Sasa Katika mtihani huo kulikuwa na swali ya mathematics ambalo hata walimu wake wamelishindwa dogo na Mama ake wameniletea Mimi.
Nimeyapiga hayo maswali lakini nimechemka sasa nimeyaleta kwenu.

Fanya weka na njia hapo chini.Maswali Yote mawiliView attachment 1174267
Ntaanza na namba 31
kwanza, 0 kuwa kitovu cha duara maana yake kwamba, kuna Nusu vipenyo vitatu... ambavyo doted line ipo pande mbili za pembetatu mbili. Kwa maana hiyo kuna ISOSCELES triangles mbili. Kwa kutumia sheria ya ISOSCELES trangles, angle yenye nyuzi 80, upande wa pili ni nyuzi 50. na upande mwingine utakuwa na nyuzi 80. Jumla ya nyuzi kwenye pembetatu ni 180.
Hivyo pembetatu ya kwanza... 50 + 50 + y = 180, hivyo y itakuwa na nyuzi 180 - 100 = 80
Pembetatu ya pili itakuwa 80 + 80 + z = 180, hivyo z itakuwa na nyuzi 180 - 160 = 20

Sasa y+z+x (x ndo inatotafutwa) unapata nyuzi za duara ambazo ni 360
kwa hiyo y+x+x = 360
80 + 20 + x = 360
x = 360 -80 - 20
x = 360 - 100
x = 260

HAPA KWA KUTUMIA TABIA ZA TRIANGLES NA RADIUS YA DUARA KUWA SAWA KILA UELEKEO NDO UNAWEZA UKAPATA JIBU SAHIHI
 
Habari wana jf.

Mtoto wa mwenye nyumba amefanya mtihani wa pre national juzi.Sasa Katika mtihani huo kulikuwa na swali ya mathematics ambalo hata walimu wake wamelishindwa dogo na Mama ake wameniletea Mimi.
Nimeyapiga hayo maswali lakini nimechemka sasa nimeyaleta kwenu.

Fanya weka na njia hapo chini.Maswali Yote mawiliView attachment 1174267
X = 260
EC = 6
 
Ntaanza na namba 31
kwanza, 0 kuwa kitovu cha duara maana yake kwamba, kuna Nusu vipenyo vitatu... ambavyo doted line ipo pande mbili za pembetatu mbili. Kwa maana hiyo kuna ISOSCELES triangles mbili. Kwa kutumia sheria ya ISOSCELES trangles, angle yenye nyuzi 80, upande wa pili ni nyuzi 50. na upande mwingine utakuwa na nyuzi 80. Jumla ya nyuzi kwenye pembetatu ni 180.
Hivyo pembetatu ya kwanza... 50 + 50 + y = 180, hivyo y itakuwa na nyuzi 180 - 100 = 80
Pembetatu ya pili itakuwa 80 + 80 + z = 180, hivyo z itakuwa na nyuzi 180 - 160 = 20

Sasa y+z+x (x ndo inatotafutwa) unapata nyuzi za duara ambazo ni 360
kwa hiyo y+x+x = 360
80 + 20 + x = 360
x = 360 -80 - 20
x = 360 - 100
x = 260

HAPA KWA KUTUMIA TABIA ZA TRIANGLES NA RADIUS YA DUARA KUWA SAWA KILA UELEKEO NDO UNAWEZA UKAPATA JIBU SAHIHI

Asante sana.Nimekupata vizuri kabisa nilishasahau hiyo Sheria ya isocseles Ila baadaya ya kulifanya ikabidi nifungue baadhi ya rejea Google
 
Mamboo ya circle hayooo
Habari wana jf.

Mtoto wa mwenye nyumba amefanya mtihani wa pre national juzi.Sasa Katika mtihani huo kulikuwa na swali ya mathematics ambalo hata walimu wake wamelishindwa dogo na Mama ake wameniletea Mimi.
Nimeyapiga hayo maswali lakini nimechemka sasa nimeyaleta kwenu.

Fanya weka na njia hapo chini.Maswali Yote mawiliView attachment 1174267
 
Ioo ukiangalia kuna pembe tatu mbili izoo ni pembe tatu pacha so kama apo kuna 50 na ukuu kwingine ni hivo hivoi so itakua
80+50+o= 180
130+o=180
0=180-130
O=50
Kupta x maana yake uchukue o uzidixe mala mbili itakua
(50*2)+x=360
X=260
 
x=2(160) central angle is twice the angle at the circumference on the same arc.
x=320
 
Back
Top Bottom