Fernando Jr
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,223
- 4,808
Wataalam habari za asubuhi?
Naomba msaada wa elimu katika hili.
Baada ya kuishi na mke kwa muda kwa mwaka mmoja na miezi saba bila kupata hata dalili yoyote ya mimba, nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.
Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana Rt. Ovarian Complex Cyst, Hemorrhagic Cyst (55.4×49.2mm).
Tukaambiwa tiba yake ni oparesheni kubwa kuondoa uvimbe huo. Tulibaha hadi kushindwa kuuliza maswali ya msingi tukaaga kwamba tukajipange kwanza tutarudi kwa operation hiyo.
Hapa nilipo kichwa hakipo sawa kabisa.
Je, operation ya namna hiyo huwa kizazi kinabaki au kinaondoshwa kabisa?
Hata kizazi kikibaki kwa hali hiyo anaweza kupata mimba/kuzaa?
Tatizo hilo haliwezi kujirudia tena?
Side effects za operation ya namna hiyo ni zipi?
Hakuna tiba mbadala?
Naombeni elimu mujarabu.
Naomba msaada wa elimu katika hili.
Baada ya kuishi na mke kwa muda kwa mwaka mmoja na miezi saba bila kupata hata dalili yoyote ya mimba, nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.
Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana Rt. Ovarian Complex Cyst, Hemorrhagic Cyst (55.4×49.2mm).
Tukaambiwa tiba yake ni oparesheni kubwa kuondoa uvimbe huo. Tulibaha hadi kushindwa kuuliza maswali ya msingi tukaaga kwamba tukajipange kwanza tutarudi kwa operation hiyo.
Hapa nilipo kichwa hakipo sawa kabisa.
Je, operation ya namna hiyo huwa kizazi kinabaki au kinaondoshwa kabisa?
Hata kizazi kikibaki kwa hali hiyo anaweza kupata mimba/kuzaa?
Tatizo hilo haliwezi kujirudia tena?
Side effects za operation ya namna hiyo ni zipi?
Hakuna tiba mbadala?
Naombeni elimu mujarabu.