drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
Mkuu jukwaa la jokes si lipo? nachelea kusema kama hujui kwanini uchangie au unaongeza idadi ya post zako tu
kucheka akuna fomla unacheka popote kama hapa nimecheka
Mkuu jukwaa la jokes si lipo? nachelea kusema kama hujui kwanini uchangie au unaongeza idadi ya post zako tu
hili ni jukwa la wataalamu, kama wewe hujui kitu kama mimi basi unatakiwa ukae kimya uwe mtazamji tu.
mbona ww ujakaa kmya mkuu ungeonyesha mfano ucngejibu maana ujatoa jibu yy katoa mchango wake
sasa na ww unafanyaje! au na ww unaongeza idadi ya post zako?
Wakuu hakuna mtu anakatazwa kucheka wala haijasemwa jukwaa hili ni la kununa.
Mtu anataka msaada mwingine analeta utani if thats so then its ok.kesho utaomba wewe uambiwe kaipande shambani itaota mpya.
Waliocheka wamecheka walionuna wamenuna, naona tunakwenda off point turudi ktk mada anahitaji msaada if posibo asaidiwe
usiwe mwepesi wa kusahu kiasi hicho, hilo ni jibu kwacomment yako kwenye post yangu.mkuu cpo kuongeza idadi ya post hapa nipokutoa solution ya yale ninayojua hapa na wengi wamenufaika kama tatizo lake linatatulika ss cjui swali lako linamanisha nn yani nielezee njia ninayotumia kufanya au?
mkuu ka ni mtaalamu naona unataka ku-ABUSE utaalamu wako! kwanini huyo jamaa hakwenda madukani kununua cm zinazo kubali laini zote?? au ndo ametoka Mashambani...aaagh! very disghusting! wenye kubwata haya sasa!mkuu hizo sio zakichina ni cm org kabisa zimetolewa na tigo na zipo aina 2 nikama zinazotolewa na voda, zantel nk ni special je yako ni zile kubwa kama blackberry au ni hile ndogo ila zote zinatoka lock nijb aina yake
mkuu ka ni mtaalamu naona unataka ku-ABUSE utaalamu wako! kwanini huyo jamaa hakwenda madukani kununua cm zinazo kubali laini zote?? au ndo ametoka Mashambani...aaagh! very disghusting! wenye kubwata haya sasa!
mkuu ka ni mtaalamu naona unataka ku-ABUSE utaalamu wako! kwanini huyo jamaa hakwenda madukani kununua cm zinazo kubali laini zote?? au ndo ametoka Mashambani...aaagh! very disghusting! wenye kubwata haya sasa!
Mkuu ni mgeni jukwaa hili? Au unaishi dunia ipi mwenzetu
hili ni jukwa la wataalamu, kama wewe hujui kitu kama mimi basi unatakiwa ukae kimya uwe mtazamji tu.
mkuu ka ni mtaalamu naona unataka ku-ABUSE utaalamu wako! kwanini huyo jamaa hakwenda madukani kununua cm zinazo kubali laini zote?? au ndo ametoka Mashambani...aaagh! very disghusting! wenye kubwata haya sasa!
Tatizo hata title ya topic imekaa kisaniii acha kina miss X wamjibu kihuni.drphone tujuze hayo mautaalamu!
Nimenunua simu ya kichina. Imelokiwa kutumia SIM card ya tiGO tu. nataka iwe inapokea laini zote.
Inaitwa MI au Mi-Q+
Imetengenezwa na Mi-Fone company
IMEI: 357213030445512.
TAFADHALI NISAIDIENI Wakuu
Mi was conceptualized, created and launched in April 2008, by Alpesh Patel, a seasoned Telecoms professional who saw a gap in the market for a brand which catered to the mass market sectors within emerging territories. Alpesh works with a team of Strategists,....... The World is Yours
mkuu hizo sio zakichina ni cm org kabisa zimetolewa na tigo na zipo aina 2 nikama zinazotolewa na voda, zantel nk ni special je yako ni zile kubwa kama blackberry au ni hile ndogo ila zote zinatoka lock nijb aina yake