Naomba Msaada wa Tiba

mkalusanga

JF-Expert Member
Nov 12, 2013
301
304
Habari zenu wana Jf poleni na tozo poleni na kupanda Mafuta Mimi toka jana nimepata tatizo kila nikila chakula nasikia chumvi sanaa hata kama chakula hakina chumvi.

Pia nikinywa juice pia nasikia ina Sukari Sanaa juzi nilienda kupima Hospital nikaambiwa nina UTI nimepewa Dawa leo ni Siku ya pili Najisikia hivi kabla sijaludi Hospital naomba humu kuna Ma Dr naamini nitapata ushauli mimi Sipend kabisa kumeza Dawa ila sina jinsi hata kwenda Hospital nina Muda mrefu namshukuru Mungu Wapendwa naombeni Ushauli Asanteni Sana.
 
Habari zenu wana Jf poleni na tozo poleni na kupanda Mafuta Mimi toka jana nimepata tatizo kila nikila chakula nasikia chumvi sanaa hata kama chakula hakina chumvi.

Pia nikinywa juice pia nasikia ina Sukari Sanaa juzi nilienda kupima Hospital nikaambiwa nina UTI nimepewa Dawa leo ni Siku ya pili Najisikia hivi kabla sijaludi Hospital naomba humu kuna Ma Dr naamini nitapata ushauli mimi Sipend kabisa kumeza Dawa ila sina jinsi hata kwenda Hospital nina Muda mrefu namshukuru Mungu Wapendwa naombeni Ushauli Asanteni Sana.
Nitafute WASSAP nitakusaidia 0779427472 itaisha kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom