mkalusanga
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 301
- 304
Habari zenu wana Jf poleni na tozo poleni na kupanda Mafuta Mimi toka jana nimepata tatizo kila nikila chakula nasikia chumvi sanaa hata kama chakula hakina chumvi.
Pia nikinywa juice pia nasikia ina Sukari Sanaa juzi nilienda kupima Hospital nikaambiwa nina UTI nimepewa Dawa leo ni Siku ya pili Najisikia hivi kabla sijaludi Hospital naomba humu kuna Ma Dr naamini nitapata ushauli mimi Sipend kabisa kumeza Dawa ila sina jinsi hata kwenda Hospital nina Muda mrefu namshukuru Mungu Wapendwa naombeni Ushauli Asanteni Sana.
Pia nikinywa juice pia nasikia ina Sukari Sanaa juzi nilienda kupima Hospital nikaambiwa nina UTI nimepewa Dawa leo ni Siku ya pili Najisikia hivi kabla sijaludi Hospital naomba humu kuna Ma Dr naamini nitapata ushauli mimi Sipend kabisa kumeza Dawa ila sina jinsi hata kwenda Hospital nina Muda mrefu namshukuru Mungu Wapendwa naombeni Ushauli Asanteni Sana.