kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,475
Hujambo binamu mpenzi..?Haitosaidia kama hafanyi mazoezi yatayomfanya atoke jasho jingi
Hujambo binamu mpenzi..?Haitosaidia kama hafanyi mazoezi yatayomfanya atoke jasho jingi
Sijambo hivi miaka yote hiyo hujabadilishaga avatarHujambo binamu mpenzi..?
Deodorants zin tabia ya kubadilisha hali ya kwapa. Si nzuri sana kwa kutatua tatizo la kutokwa harufu isiyovutia kwenye kwapa bali hufnya kwapa kuficha harufu na ple utakapoacha kuzitumia tu, unaweza ukajuta kuzifahamu.Pia tumia deodorants baada ya kuoga ili ujikeep fresh,
Sasa kuoga mara nyingi zaidi si inategemea! Let say yuko kazini kutwa nzima,anarudi home usiku/jioni,atafanyaje?Oga mara nyingi zaidi....
Kweli kabisa.Deodorants zin tabia ya kubadilisha hali ya kwapa. Si nzuri sana kwa kutatua tatizo la kutokwa harufu isiyovutia kwenye kwapa bali hufnya kwapa kuficha harufu na ple utakapoacha kuzitumia tu, unaweza ukajuta kuzifahamu.
Kama walivyoshauri wengine, ni bora uktumia maganda ya limo na kuzingatia usafi mara kwa mara. Kikiingia kutoka inahitji jitihada na muda pia.
Aoge tu...Ila kikubwa ni dietSasa kuoga mara nyingi zaidi si inategemea! Let say yuko kazini kutwa nzima,anarudi home usiku/jioni,atafanyaje?
Khaaa a....Hakikisha hizo nywele unazinyoa mara kwa mara pia.
Khaaa a....
1. ACHA KUVALIANA AU KUAZIMANA NGUO.Nina umri wa miaka 23 sikuwahi kuwa na tatizo hili katika makuzi yangu huu ni mwezi wa tatu nasumbuliwa na tatizo hii, Kama ni usafi ninajitahidi kwani mpaka kwa siku nabadilisha na kuoga Mara 2 .
Msaada kwa jukwaa hili na wana JF kwa ujumla member wote
1. Je nifanyeje kuepukana na hali hii
2. Kuna dawa au ndia ya kutoa hii
3. Kwa yeyote mwenye ufumbuzi please
Powah mkuu ahsante sana1. ACHA KUVALIANA AU KUAZIMANA NGUO.
2. SAFISHA KWAPA KWA MAJI YA MDALASINI NA HILIKI
3.SAFISHA KWAPA KWA UKOKO WA UGALI ULIO LOWEKWA
Mkuu kata ndimu vipande viwili weka kimoja kwapa ya kushoto na chengine kulia. Kwa dakika 15 halafu sugua kwa dakika 2 nenda kaoge na sabuni ya Detol, fanya hivi kwa wiki moja halafu leta mrejesho hapa.Nina umri wa miaka 23 sikuwahi kuwa na tatizo hili katika makuzi yangu huu ni mwezi wa tatu nasumbuliwa na tatizo hii, Kama ni usafi ninajitahidi kwani mpaka kwa siku nabadilisha na kuoga Mara 2 .
Msaada kwa jukwaa hili na wana JF kwa ujumla member wote
1. Je nifanyeje kuepukana na hali hii
2. Kuna dawa au ndia ya kutoa hii
3. Kwa yeyote mwenye ufumbuzi please
Yaah nilichotaka kusema ndio alichosema paka chongoOga kisha kausha ma kwapani thn chukua limao pakaa wacha ikauke fanya ivyo kwa wiki 1 kila kitu kitakuwa powa
tupo pamoja mkuuPowah mkuu ahsante sana
uwiiiiNunua ndimu za kutosha kutwa mara tatu. Zingine paka halafu the zingne meza..