Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
hilo ni tatizo kubwa kwa watu wengi. tatizo lingine ni kunuka mdomo, yaani watu wengi nakutana nao wananuka sana mdomo utafikiri kuna choo ndani, hasa wanaume, akiwa anaongea unatamani kuondoka. mimi mwenyewe wakati mwingine kama sijala mda mrefu najistukia naogopa nisijenuka kama wengine. nafikiri ni kukithiri kwa kuzamia chumvini wakuu mdomo umebadilika kuwa mbunye, itabidi tuache ule mchezo hata kama wengi wetu tunaupenda (hasa unaposikilizia chumvi na kauharufu ka nyanya kakipenyeza puani hadi akilini...)Nina umri wa miaka 23 sikuwahi kuwa na tatizo hili katika makuzi yangu huu ni mwezi wa tatu nasumbuliwa na tatizo hii, Kama ni usafi ninajitahidi kwani mpaka kwa siku nabadilisha na kuoga Mara 2 .
Msaada kwa jukwaa hili na wana JF kwa ujumla member wote
1. Je nifanyeje kuepukana na hali hii
2. Kuna dawa au ndia ya kutoa hii
3. Kwa yeyote mwenye ufumbuzi please