kama hivi?Naombeni msaada wa wa namna ya ku quote link ya thread fulani! Kwa mfano labda mtu aliweka thread yake sasa nataka ku quote kile kichwa cha habari (link).
Sijui nimeeleweka! Mfano kama wewe unataka ku quote hiyo heading yangu hapo juu
Hapa vipi ??Kama unatumia simu kila ukifungua thread juu kulia kuna vidoti vitatu ukibonyeza hiko kitakuja na option ya 'copy url' hapo unakua tayari umeshacopy thread.
Kama unatumia browser ile address iliyopo kwenye tab unaihighlight yote na kuikopi na kazi ishaisha.