Wasalaam,
JF natambua ni kisima cha mambo mengi. Naomba msaada kwa yoyote anayeweza kunielekeza wapi ninaweza kupata mkopo wa Tsh 70m- 100million wa muda mrefu kama miaka mitatu- sita, repayable quarterly after a grace period of two months. Riba yake iwe kati ya 10%- 18% P.a on declining balance.
Nina nyumba yenye hati wilaya ya Kinondoni thamani yake ni kati ya 50m- 100million.
Kwa wenzetu mlioko ng'ambo tafadhali kama mnaweza kunielekeza social investors au philanthropists ambao wanaweza kunikopesha kiasi hicho cha pesa kwa masharti ya kuelewana nao. Mradi naotaka kufanya ni shughuli za utoaji wa mikopo midogo ya biashara, nyumba na elimu ya ujasiliamali na ufundi stadi ( vocation skills training)
Nawasilisha
JF natambua ni kisima cha mambo mengi. Naomba msaada kwa yoyote anayeweza kunielekeza wapi ninaweza kupata mkopo wa Tsh 70m- 100million wa muda mrefu kama miaka mitatu- sita, repayable quarterly after a grace period of two months. Riba yake iwe kati ya 10%- 18% P.a on declining balance.
Nina nyumba yenye hati wilaya ya Kinondoni thamani yake ni kati ya 50m- 100million.
Kwa wenzetu mlioko ng'ambo tafadhali kama mnaweza kunielekeza social investors au philanthropists ambao wanaweza kunikopesha kiasi hicho cha pesa kwa masharti ya kuelewana nao. Mradi naotaka kufanya ni shughuli za utoaji wa mikopo midogo ya biashara, nyumba na elimu ya ujasiliamali na ufundi stadi ( vocation skills training)
Nawasilisha