Dawa gani?Mwagia dawa
Hapana mkuu, ni ufugaji..🤓Wanakuja, hv maembe ni biashara?
Kwani ufugaji sio biashara?Hapana mkuu, ni ufugaji..🤓
Ni biashara nzuri sana.Hapana mkuu, ni ufugaji..🤓
Mambo mtoto mzuri...🙋♂️Ni biashara nzuri sana.
Mkuu ebu wasiliana na hawa jamaa bilashaka watakusaidia ushauri/tiba.Miembe yangu imeanza kutoa matunda.
Matunda yanapokaribia kuiva yanaugua ugonjwa wa kupasuka.
Naomba msaada wa kuzuia ugonjwa huu.View attachment 2534802View attachment 2534803
Mimi maembe yangu yanadondoka yote kabla ya kukomaa.Miembe yangu imeanza kutoa matunda.
Matunda yanapokaribia kuiva yanaugua ugonjwa wa kupasuka.
Naomba msaada wa kuzuia ugonjwa huu.View attachment 2534802View attachment 2534803
Mkono wa mtu.Miembe yangu imeanza kutoa matunda.
Matunda yanapokaribia kuiva yanaugua ugonjwa wa kupasuka.
Naomba msaada wa kuzuia ugonjwa huu.View attachment 2534802View attachment 2534803
Kwahiyo unataka kumshauri aihamishe hiyo miembe!Mkono wa mtu.
Subhanallah....🙆♂️Mkono wa mtu.
Ni biashara nzuri sana.Wanakuja, hv maembe ni biashara?
Dawa gani?
Asante sana.Mkuu ebu wasiliana na hawa jamaa bilashaka watakusaidia ushauri/tiba.
Phone (Simu): +255766797400 Email: daudilyela@yahoo.com
Punguza kuimwagilia maji mengi. Maji yakiwa mengi sana embe zitapasukaMiembe yangu imeanza kutoa matunda.
Matunda yanapokaribia kuiva yanaugua ugonjwa wa kupasuka.
Naomba msaada wa kuzuia ugonjwa huu.
View attachment 2534802View attachment 2534803
Nasubiria usijibiwe boss😂😂Mambo mtoto mzuri...🙋♂️