profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,129
wadau naombeni msaada,namna ya kusafisha taa za mbele,kubwa za gari,jana usiku nimepata shida sana barabarani,mwanga ulikuwa mdogo na hafifu sana,alafu taa ya kushoto ina mwanga mkali kishinda ya kulia,msaada please..