brightmind
Member
- Dec 24, 2018
- 72
- 103
Habari ndg. zangu!
Naomba msaada kwa mtu mwenye mawasiliano ya Watanzania fulani waliosomea China walianzisha magroup ya whatsapp kutoa msaada namna ya kuomba Chinese scholarships kwa mwaka jana. Kwa bahati mbaya nilipoteza mawasiliano yao.
Yeyote tafadhali mwenye mawasiliano yao au links za magroup hayo aweze kunisaidia.
Natanguliza shukrani
Naomba msaada kwa mtu mwenye mawasiliano ya Watanzania fulani waliosomea China walianzisha magroup ya whatsapp kutoa msaada namna ya kuomba Chinese scholarships kwa mwaka jana. Kwa bahati mbaya nilipoteza mawasiliano yao.
Yeyote tafadhali mwenye mawasiliano yao au links za magroup hayo aweze kunisaidia.
Natanguliza shukrani
