Naomba msaada wa kupata kazi

Naomba msaada wa kupata kazi

magila

Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
37
Reaction score
4
Habari zenu wana jf .mimi ni msomi wa digree ya bussness administration tangu nimalize chuo mwaka 2008 sijabahatika kupata kazi.tafadhari naomba msaada wa kupata ajira,au mawazo hata connection.asanteni sana pia naweza kuwa contacted by pm.
 
Habari zenu wana jf .mimi ni msomi wa digree ya bussness administration tangu nimalize chuo mwaka 2008 sijabahatika kupata kazi.tafadhari naomba msaada wa kupata ajira,au mawazo hata connection.asanteni sana pia naweza kuwa contacted by pm.
bora nikuchumbie au unasemaje?
 
jaza form za kuomba ajira za ualimu wizara ya elimu watakupa ajira ukaanze nayo baadaye utajiongeza.
 
Back
Top Bottom