Naomba msaada wa ku-root simu nipo Zanzibar

Naomba msaada wa ku-root simu nipo Zanzibar

Yahya Asaa

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
244
Reaction score
28
Habari za muda huu wana JF Nahitaji msada wako kwa hali yoyote popote ulipo nitakufuata. Hata ikibidi kukulipa. Nataka msada wa kuroot cm.

Nimekwama hapo cjaweza kuroot bado na jitihada zangu zimeisha Cm zangu ndio za kunifundishia Wala ucjali kuharibika kwa cm
 
Muwe na tabia ya kuperuzi post zilizopita kabla ya kuomba msaada humu kuna uzi unaelezea namna ya ku root simu nyingi ikiwemo sim yako.
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza ni ushauri tu,
 
Muwe na tabia ya kuperuzi post zilizopita kabla ya kuomba msaada humu kuna uzi unaelezea namna ya ku root simu nyingi ikiwemo sim yako.
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza ni ushauri tu,

amekwambia amejaribu ameshindwa sasa afanye nini?
 
Nisaada wenu bro
Natumia htc desire
Android 2.2.2
Hta kama pm bro co mbaya
 
Ahsante sana bro kwa msada wko
Mungu akulipe kheri
 
huawei inabidi u-unlock bootloader kwa kutumia fastboot na 15 code za simu yako kisha unainstall CWM or TWPR hapo ndo unaweza ku-update simu yako mpaka android 4.4.4 kitkat
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom