Kama simu yako haina memory card inaweza kuwa ndio tatizo.
inatumia os gani je umejaribu kuinstal kwa kusearch Google au kwenye official website yao?
Jipange utafute smartphone kama shida yako ni whatsapp, hiyo n73 ya 2006, enzi hizo unajua hata apple walikua hawajatoa iPhone ya kwanza... kwa kifupi haisupport whatsapp