Habari wana JF!
Naomba mnisaidie kwa hili mwenzenu napenda kutafuna sana mchele mbichi uwe umelowekwa kwenye maji au hata mkavu.je kuna madhara yoyote??
natamani sana kuacha maana naona dah nimezidisha sasa!je nitawezaje kuacha???
au labda nina upungufu wa kitu fulani mwilini manake nikiuona tu lazima nitauchukua.plse help
Naomba mnisaidie kwa hili mwenzenu napenda kutafuna sana mchele mbichi uwe umelowekwa kwenye maji au hata mkavu.je kuna madhara yoyote??
natamani sana kuacha maana naona dah nimezidisha sasa!je nitawezaje kuacha???
au labda nina upungufu wa kitu fulani mwilini manake nikiuona tu lazima nitauchukua.plse help