Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Hello Great Thinker ,Pamoja na Madaktari wetu .Nina swali naomba kuuliza please.
Kwenye family member tuna mgonjwa ambaye ameadhirika na ukimwi ,sasa ikifika usiku anakohoa sana sana ila mchana ni mzima kabisa.
Tatizo litakuwa nini wakuu na naombeni kama kuna hiyo dawa ya hicho kikohozi please.
Nilivyompeleka hospital na akagunduliwa ni mwadhirika ni miaka karibia 19 na umri wake umeenda sana 73 years.
Msaada wenu jamani.
Kwenye family member tuna mgonjwa ambaye ameadhirika na ukimwi ,sasa ikifika usiku anakohoa sana sana ila mchana ni mzima kabisa.
Tatizo litakuwa nini wakuu na naombeni kama kuna hiyo dawa ya hicho kikohozi please.
Nilivyompeleka hospital na akagunduliwa ni mwadhirika ni miaka karibia 19 na umri wake umeenda sana 73 years.
Msaada wenu jamani.