Usidanganye kuwa ulikuwa unajaribu uwezo wa watu kufikiri wakati wewe mwenyewe umeonyesha uwezo mdogo wa kufikiri,toka lini polisi akafanye search without police inspector? Hapo ungefikiri vizuri ungetudanganya kuwa walienda kumkamata mtuhumiwa akakutwa na exhibit,halafu kitu au exhibit iliyoletwa na askari iweje ifunguliwe kama mali ya kuokota hasa pembe/jino la ndovu? Ungekuwa unajua kufikiria usingendanganya hivyo manake unaweza sana askari anaweza kufungua taarifa ya mali ya kuokota madawa ya kulevya halafu asiwekwe ndani kuwa ni mhusika? Wewe ndo jifunze namna ya uwasilishaji mada kwa hadhiraW usiyoijua,humu tuna wanasheria,polisi,walimu madaktari na kadha wa kadha.