Salama ndugu zangu,
Naomba ushauri wa kisheria Kwa hili swala,dada yangu ni mama wa watoto 2,wakike na kiume,miaka 6 na 3,alikuwa kwenye uhusiano wa muda mrefu kidogo kama miaka 10+ lakini hakukua na ndoa.
Kwa kifupi ni yale mahusiano ya on and off, mwishoe watoto wakahusika Mwaka Jana mwanzoni, mwanaume akahamia nje ya Tanzania kikazi (serikalini) matunzo ya watoto yakaanza kusuasua.
Kifupi matumizi ya watoto mapaka kupigizana kelele, kifikia mwezi wa 10 mambo yamezidi kuwa mabaya,dada alikuwa mfanyakazi pia,lakini kutokana na kulea watoto na wakati mwingine kukosa wa kumwangalia watoto wawili,akasimama kazi. Msaada unaoomba ni kujua:
1. Kama mtu yupo nje ya nchi kumshitaki inakuwaje? Unatumia njia gani?
2. Tunaomba kujua sehemu sahihi pia ya kushtaki ni ustawi wa jamii,dawati la jinsia, LHRC,au sehemu gani haswa?
Tunatanguliza shukrani.
Naomba ushauri wa kisheria Kwa hili swala,dada yangu ni mama wa watoto 2,wakike na kiume,miaka 6 na 3,alikuwa kwenye uhusiano wa muda mrefu kidogo kama miaka 10+ lakini hakukua na ndoa.
Kwa kifupi ni yale mahusiano ya on and off, mwishoe watoto wakahusika Mwaka Jana mwanzoni, mwanaume akahamia nje ya Tanzania kikazi (serikalini) matunzo ya watoto yakaanza kusuasua.
Kifupi matumizi ya watoto mapaka kupigizana kelele, kifikia mwezi wa 10 mambo yamezidi kuwa mabaya,dada alikuwa mfanyakazi pia,lakini kutokana na kulea watoto na wakati mwingine kukosa wa kumwangalia watoto wawili,akasimama kazi. Msaada unaoomba ni kujua:
1. Kama mtu yupo nje ya nchi kumshitaki inakuwaje? Unatumia njia gani?
2. Tunaomba kujua sehemu sahihi pia ya kushtaki ni ustawi wa jamii,dawati la jinsia, LHRC,au sehemu gani haswa?
Tunatanguliza shukrani.