Kama alifukuzwa kwakosa, huyo mfanyakazi hana haki. Lakini kama alifukuzwa kwa tuhuma, haki anayo.Mwajiriwa aliyefukuzwa kazi kwa kosa la wizi kisha akaenda kufungua mgogoro wa kikazi CMA na kushinda kesi. Je, baada ya hapo anaweza kumfungulia kesi Mwajiri wake kwa kosa la kumchafulia jina?
Anaweza kufukuzwa kwa kosa then ashinde?Kama alifukuzwa kwakosa, huyo mfanyakazi hana haki. Lakini kama alifukuzwa kwa tuhuma, haki anayo.
Soma alichoandika mkuu. Na commemt yangu inajieleza wazi.Anaweza kufukuzwa kwa kosa then ashinde?