Black jackal360
Member
- Sep 1, 2018
- 30
- 42
Mkuu unawez kumfungulia kesi wewe mwenyewe kwa niaba ya mama. Inaitwa KITE FLY. Maana ni cheki ambayo inatolewa na mtu kumbe ni magumashiHii kesi inapande tatu kwa hio natafuta nani anaetakiwa kwenda mahakamani .
Bosi wangu alinipa kazi ya ujenzi na tukakubaliana kulipana malipo ya ujenz huo baada ya kukamilika yalitalipwa kwa cheki lakini pesa hio sikutaka kulipwa mimi, nilitaka alipwe mama yangu . Baada ya ujenzi kuisha bosi akaandika cheki na kumpa mama lakini alipofika benki aliambiwa kuwa cheki ni feki kwahio nani anatakiwa kulalamika endapo kesi hio itatakiwa iende mahakamani .
please nisaidieni wakuu
Ahsante sana mkubwa unaanza nipa mwangaMkuu unawez kumfungulia kesi wewe mwenyewe kwa niaba ya mama. Inaitwa KITE FLY. Maana ni cheki ambayo inatolewa na mtu kumbe ni magumashi
Lakini hata mama anaweza fungua kwa sababu yeye ndie mlengwa
Mkuu jaribu fuatilia unaeza kuta cheque ime baunsi maana akina mama sometimes wanatoa sana twisted information hivo Fanya follow up mwenyewe
Ok ndugu let me check
Ni academic question au practical? Maana njia rahisi ni kwenda kwa huyo bosi wako tu kumwambia cheki aliyotoa imekataliwa na umuombe aandike nyingine au akulipe kwa namna nyingine.
Boss wako hajatimiza sehemu yake ya mkataba (kukulipa wewe kupitia mama yako). Wewe ndio mlalamikaji.
Kutoa "cheki feki" pia kwa maana yake halisi inaangukia kwenye jinai. Mama au wewe unaweza kuanzisha malalamiko polisi na jamuhuri ikamfungulia mashtaka.
Inanikumbusha Langridge v .Levy.