Mabreka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 709
- 207
Wana jf,
Mimi ni ME 30's yrs, nimekuwa nikisaka mchumba/mke kwa muda mrefu sana bila mafanikio mpaka nikafikia kiasi cha kukata tamaa ya kuoa.
Nimekuwa na bahati mbaya kila nikipata rafiki wa kike anakuwa yupo nje kabisa ya sifa za mwanamke ninaetamani kuwa nae.
Miezi 3 iliyopita nilibahatika kupata kazi katika kampun fulan hapa dar, Ikiwa km bahati niliajiriwa na dada 1 so tukawa tumeripoti kwa siku moja.
tulikumbukana coz tulikutana kwenye intvyu, so tukawa tunatambulishwa sehem mbalimbali za kampuni tukiwa pamoja. Kwa kuwa wote tulikuwa wagen na tumeajiriwa kwenye kampun 1 na depart 1 so ikawa kila mahali tunakuwa tupo pamoja (break fast, lunch) kuanzia asbh mpaka muda wa kufunga ofc.
Imefikia point mpaka kila mtu kwenye kampuni anajua/ anafikiri kuwa sisi ni wachumba. Wengine wanahoji tunatarajia kufunga ndoa lini? hii imekuwa inanipa moyo kuwa tunaendana na tunaweza kuwa mme na mke.
Huyu dada nikamwona ana vigezo vyote ambavyo nilitaman mke/mchumba wangu awe navyo.(Huyu dada kwa utashi wangu inaelekea hana mtu, au kama yupo hawapo seriaz sana). So ninampenda kweli ila sijamwambia nikawa navuta kasi kwanza ili nijiridhishe kisaikolojia kuwa ni kweli nampenda kwa moyo wote na sio kama nimemtan.
Siku zilivyokwenda nimegundua kasoro 1 ambayo huyu mrembo anayo ambayo inanisumbua akili yangu mpaka nashindwa kujua nifanye nini, nisonge mbele au nijipange upya kuendelea kusaka mke.
Huyu dada anaghubu (Analalamika sana) na kugombana na watu hovyo bila hata sababu za msingi. Sehem ambapo huwa tunapata brek fast keshagombana na wahudumu wote, sehem ya lunchi hivyo hivyo.
Anaonekana ana matusi ya rejareja sana, hajawahi kunitukana mimi ila niliwahi kumsikia anamtukana mtu kwenye sim matusi ya nguoni kisa kam beep. mazungumzo yalikuwa hivi:-
mchumba: hallow
aliebeep:hallow,
aliebeep: wewe nani?
mchumba: kwan umembeep mtu usie mjua?
aliebeep: nimepewa no na jiran yako.
mchumba:******* ,****,****, (matusi)?!!!!
Nilishtuka baadae akaniomba msamaha kwa maneno yake machafu.
Kuna wakati mwingine anakuja job akiwa hataki kuongea na mtu yeyote anasema yupo Upset (hana mood). nikimuuliza kulikon anajibu "haikuhusu".
Sasa nikimtamkia kuwa napenda na akakubali si atanitesa sana ukizingatia mie sio mtu wa ugomvi na mopole sana?
Moyo wangu unasita, tafadhali naomben mitazamo yenu.
hope huku kuna watu wenye uzoefu na walishakutana na situation kama hii.
asanten.
Mimi ni ME 30's yrs, nimekuwa nikisaka mchumba/mke kwa muda mrefu sana bila mafanikio mpaka nikafikia kiasi cha kukata tamaa ya kuoa.
Nimekuwa na bahati mbaya kila nikipata rafiki wa kike anakuwa yupo nje kabisa ya sifa za mwanamke ninaetamani kuwa nae.
Miezi 3 iliyopita nilibahatika kupata kazi katika kampun fulan hapa dar, Ikiwa km bahati niliajiriwa na dada 1 so tukawa tumeripoti kwa siku moja.
tulikumbukana coz tulikutana kwenye intvyu, so tukawa tunatambulishwa sehem mbalimbali za kampuni tukiwa pamoja. Kwa kuwa wote tulikuwa wagen na tumeajiriwa kwenye kampun 1 na depart 1 so ikawa kila mahali tunakuwa tupo pamoja (break fast, lunch) kuanzia asbh mpaka muda wa kufunga ofc.
Imefikia point mpaka kila mtu kwenye kampuni anajua/ anafikiri kuwa sisi ni wachumba. Wengine wanahoji tunatarajia kufunga ndoa lini? hii imekuwa inanipa moyo kuwa tunaendana na tunaweza kuwa mme na mke.
Huyu dada nikamwona ana vigezo vyote ambavyo nilitaman mke/mchumba wangu awe navyo.(Huyu dada kwa utashi wangu inaelekea hana mtu, au kama yupo hawapo seriaz sana). So ninampenda kweli ila sijamwambia nikawa navuta kasi kwanza ili nijiridhishe kisaikolojia kuwa ni kweli nampenda kwa moyo wote na sio kama nimemtan.
Siku zilivyokwenda nimegundua kasoro 1 ambayo huyu mrembo anayo ambayo inanisumbua akili yangu mpaka nashindwa kujua nifanye nini, nisonge mbele au nijipange upya kuendelea kusaka mke.
Huyu dada anaghubu (Analalamika sana) na kugombana na watu hovyo bila hata sababu za msingi. Sehem ambapo huwa tunapata brek fast keshagombana na wahudumu wote, sehem ya lunchi hivyo hivyo.
Anaonekana ana matusi ya rejareja sana, hajawahi kunitukana mimi ila niliwahi kumsikia anamtukana mtu kwenye sim matusi ya nguoni kisa kam beep. mazungumzo yalikuwa hivi:-
mchumba: hallow
aliebeep:hallow,
aliebeep: wewe nani?
mchumba: kwan umembeep mtu usie mjua?
aliebeep: nimepewa no na jiran yako.
mchumba:******* ,****,****, (matusi)?!!!!
Nilishtuka baadae akaniomba msamaha kwa maneno yake machafu.
Kuna wakati mwingine anakuja job akiwa hataki kuongea na mtu yeyote anasema yupo Upset (hana mood). nikimuuliza kulikon anajibu "haikuhusu".
Sasa nikimtamkia kuwa napenda na akakubali si atanitesa sana ukizingatia mie sio mtu wa ugomvi na mopole sana?
Moyo wangu unasita, tafadhali naomben mitazamo yenu.
hope huku kuna watu wenye uzoefu na walishakutana na situation kama hii.
asanten.