asante sana kwa maoni,ubarikiweNenda Na namba za nida
samahani.na jee wakihitaji pia copy itakuwaje ndugu au hakuna tatizoNenda Na namba za nida
aliniandikia tuu kitambulisho,ambacho sina. ila namba ndio ninayo ya NIDAKila kazi inaianisha masharti yake na vitu vya kuwasilisha au kuwa navyo. Naamini wewe na huyo rafikiyo mko kwenye nafasi nzuri zaidi ya kujua yatakiwayo kuliko sisi. Jua masharti na uyatekeleze
Sasa mkuu kitambulisho na namba ya NIDA ni sawa? Mwambie kabisa kuwa huna kitambulisho ila una nambari ya NIDA. Kama kimojawapo kingetakiwa ingesemwa kitambulisho chochote au namba ya NIDAaliniandikia tuu kitambulisho,ambacho sina. ila namba ndio ninayo ya NIDA
isee next time km hauna kitambulisho chochote nenda kwenye serikali yko ya mtaa waambie wao wanakujua watakupa barua ya utambulisho yenye picha yako na muhuri wa serikali ya mtaa inakusaidia ila sio kila sehemu ila itakusaidia km kitambulisho.ndugu zanguni wana Jamii forum habarini zenu,kwanza kabisa yote kwa yote natumaini nyote wazima
Baada ya hayo naomba mnisaidie jambo linalonisumbua,mimi ni mhitimu wa moja ya chuo cha maeneo ya Dar es Saalaam kuna jamaa yangu kanishirikisha kuna sehemu pana kazi,ambapo ni maeneo ya kiwandani huko maeneo ya Morogoro.
kila kitu ninacho lakini swali langu ni Jee? kuna ulazima wa kuwepo na kitambulisho?kwa sababu mm sina kitambulisho chochote kwa sababu ya matatizo yaliyonikuta na vipi jee? kama nina namba ya NIDA tuu zitakubalika?
Asanteni ndugu zangu.
NINA IMANI WENU HUKU NI WAZOEFU WAKUBWA
Kamanda kama una namba ya NIDA ni rahisi...tafuta mtu wa graphic design au IT atakueditia picha na namba yako...print hicho kitambulisho then laminate stationery...kazi itakua imeisha na utakua na kitambulisho chako mkononi.aliniandikia tuu kitambulisho,ambacho sina. ila namba ndio ninayo ya NIDA
Asante sanaisee next time km hauna kitambulisho chochote nenda kwenye serikali yko ya mtaa waambie wao wanakujua watakupa barua ya utambulisho yenye picha yako na muhuri wa serikali ya mtaa inakusaidia ila sio kila sehemu ila itakusaidia km kitambulisho.
asanteKamanda kama una namba ya NIDA ni rahisi...tafuta mtu wa graphic design au IT atakueditia picha na namba yako...print hicho kitambulisho then laminate stationery...kazi itakua imeisha na utakua na kitambulisho chako mkononi.
asante ndugu
Sio poaKamanda kama una namba ya NIDA ni rahisi...tafuta mtu wa graphic design au IT atakueditia picha na namba yako...print hicho kitambulisho then laminate stationery...kazi itakua imeisha na utakua na kitambulisho chako mkononi.
kuna uhakika wa kupata hiyo soft copy ndugu?Sio poa
Iyo ni forgery, inaweza kuleta matatizo baadae
Nenda kitua cha nida ulipojiandikisha, uwaombe watakupa soft copy ya i.d. yako
Msomi unanitia mashaka makubwa.ndugu zanguni wana Jamii forum habarini zenu,kwanza kabisa yote kwa yote natumaini nyote wazima
Baada ya hayo naomba mnisaidie jambo linalonisumbua,mimi ni mhitimu wa moja ya chuo cha maeneo ya Dar es Saalaam kuna jamaa yangu kanishirikisha kuna sehemu pana kazi,ambapo ni maeneo ya kiwandani huko maeneo ya Morogoro.
kila kitu ninacho lakini swali langu ni Jee? kuna ulazima wa kuwepo na kitambulisho?kwa sababu mm sina kitambulisho chochote kwa sababu ya matatizo yaliyonikuta na vipi jee? kama nina namba ya NIDA tuu zitakubalika?
Asanteni ndugu zangu.
NINA IMANI WENU HUKU NI WAZOEFU WAKUBWA
Kwenye ofisi za nida za wilayakuna uhakika wa kupata hiyo soft copy ndugu?
Kwa sbabu niliambiwa ni hadi sehemu ambapo wanapozalishia hii imekaaje
msaada ndio muhimu ndugu,mengine baadaeMsomi unanitia mashaka makubwa.
Uandishi wako ,
Uandishi wako unanikumbusha nilipokuwa Darasa la Tatu.msaada ndio muhimu ndugu,mengine baadae
fanya ku scan izo namba utapewa copy ya kitambulishooo.Ndugu zanguni wana Jamii Forums habarini zenu, kwanza kabisa yote kwa yote natumaini nyote wazima
Baada ya hayo naomba mnisaidie jambo linalonisumbua, mimi ni mhitimu wa moja ya Chuo cha maeneo ya Dar es Saalaam. Kuna jamaa yangu kanishirikisha kuna sehemu pana kazi, ambapo ni maeneo ya kiwandani huko maeneo ya Morogoro.
Kila kitu ninacho lakini swali langu ni Je, kuna ulazima wa kuwepo na kitambulisho? Kwa sababu mimi sina kitambulisho chochote kwa sababu ya matatizo yaliyonikuta na vipi jee? ma nina namba ya NIDA tuu zitakubalika?
Asanteni ndugu zangu.
NINA IMANI WENU HUKU NI WAZOEFU WAKUBWA