SaidAlly
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 2,374
- 2,312
Mkolon and tcoal9
Salaam wakuu na wengineo ambao watakua na utaalam wa tatizo langu.
Nina externa Hard disk, kila ninapoiweka kwa laptop inadai BitLocker password.
Nimehangaika sana katika net kutafuta solution sijapata zaidi ya kutakiwa either niwe na hiyo password au Password ID recovery key.
Kwa kumbukumbu zangu sijawahi ku-activate hiyo BitLocker na ilijitokeza baada ya rafiki yangu kuichukua ili akacopy movies na alipoiweka kwa pc yake ikamdai password, since then hata nilipoiweka tena kwa laptop yangu ikaanza kudai hiyo password. Nimejaribu njia nyingi za kui-disable hiyo BitLocker lakini kwa hiyo hard disk inataka password kwanza niifungue.
Sasa hata sijajua chanzo cha hilo tatizo maana mie sijawahi ku-activete hiyo kitu. Mie natumia window 7, nikiiweka kwenye window nyingine kama vista inanidai software ya ku-install hiyo hard disk.
Naomba msaada kwa anaefaham solution ya hii kitu!
Natanguliza shukrani!
Salaam wakuu na wengineo ambao watakua na utaalam wa tatizo langu.
Nina externa Hard disk, kila ninapoiweka kwa laptop inadai BitLocker password.
Nimehangaika sana katika net kutafuta solution sijapata zaidi ya kutakiwa either niwe na hiyo password au Password ID recovery key.
Kwa kumbukumbu zangu sijawahi ku-activate hiyo BitLocker na ilijitokeza baada ya rafiki yangu kuichukua ili akacopy movies na alipoiweka kwa pc yake ikamdai password, since then hata nilipoiweka tena kwa laptop yangu ikaanza kudai hiyo password. Nimejaribu njia nyingi za kui-disable hiyo BitLocker lakini kwa hiyo hard disk inataka password kwanza niifungue.
Sasa hata sijajua chanzo cha hilo tatizo maana mie sijawahi ku-activete hiyo kitu. Mie natumia window 7, nikiiweka kwenye window nyingine kama vista inanidai software ya ku-install hiyo hard disk.
Naomba msaada kwa anaefaham solution ya hii kitu!
Natanguliza shukrani!