vee vivian
Member
- Jul 4, 2020
- 25
- 86
Habari wanajamii
Mnakumbuka nilileta changamoto yangu na hamkusita kunishauri vyema na sasa ule ushauri mlionipa umezaa Matunda
Nawashukuru kwa kila mmoja wapo kwa kusoma story yangu na kutia chochote kitu Moyo ukapoa maana niliwaza mengi Sana kwa wakati ule Ila kubwa Zaidi nilijitahidi sana kutafuta kazi majumbani na nilifanikiwa kupata Kazi ya kufua Na kufanya Usafi. Mpaka sasa nina elf 35 na mtoto nimeshamlipia Ada elfu 15.
ilichonileta; toka juzi nimepata hii hela nachanganyikiwa na hizi biashara mbili naombeni mwenye mwongozo anipe au mtazamo biashara nifanye ipi na jinsi kuanzia ya kwanza kuchukua Matunda Mabibo na kuzungusha mitaaani yaani kuchukua parachichi, chugwa, ndizi, tikiti, na yapili Ni kuchukua viungo vya mboga mabibo mfano nyanya, vitunguu ,hoho ,karoti ,bamia ,nyanyachungu, nazo nizunguzhe mitaaani ili mtaji wangu usife nanipate ata atleast yakuweka Kwa kibubu
Sasa toka juzi nawaza Sana nashindwa nifanye maamuz Gani naombeni msaada wa mawazo kati ya hizo biashara ipini nzuri kwa walaji ambayo nitaifanya Na utanipa wateja asanteni sana...mawazo Yenu ndo yataniongoza Tena Na Tena ..nafatilia comment
Mnakumbuka nilileta changamoto yangu na hamkusita kunishauri vyema na sasa ule ushauri mlionipa umezaa Matunda
Nawashukuru kwa kila mmoja wapo kwa kusoma story yangu na kutia chochote kitu Moyo ukapoa maana niliwaza mengi Sana kwa wakati ule Ila kubwa Zaidi nilijitahidi sana kutafuta kazi majumbani na nilifanikiwa kupata Kazi ya kufua Na kufanya Usafi. Mpaka sasa nina elf 35 na mtoto nimeshamlipia Ada elfu 15.
ilichonileta; toka juzi nimepata hii hela nachanganyikiwa na hizi biashara mbili naombeni mwenye mwongozo anipe au mtazamo biashara nifanye ipi na jinsi kuanzia ya kwanza kuchukua Matunda Mabibo na kuzungusha mitaaani yaani kuchukua parachichi, chugwa, ndizi, tikiti, na yapili Ni kuchukua viungo vya mboga mabibo mfano nyanya, vitunguu ,hoho ,karoti ,bamia ,nyanyachungu, nazo nizunguzhe mitaaani ili mtaji wangu usife nanipate ata atleast yakuweka Kwa kibubu
Sasa toka juzi nawaza Sana nashindwa nifanye maamuz Gani naombeni msaada wa mawazo kati ya hizo biashara ipini nzuri kwa walaji ambayo nitaifanya Na utanipa wateja asanteni sana...mawazo Yenu ndo yataniongoza Tena Na Tena ..nafatilia comment