Naomba msaada wa Application nzuri ya kuhide sms

Naomba msaada wa Application nzuri ya kuhide sms

Go SMS
Iyo ni App ya SMS hapo uta add private conversation kama una michepuko wote waweke private. Afu toa na pattern kabisa ujidai mwema kumbe HAKUNA ALIYE MWEMA
Hahah kweli aisee tena ukipata cracked swafiii
 
je nikitoa line yake na nikiweka kwenye simu yangu wakati amelala meseji zake hazitaingia kwenye simu yangu
 
Kiboko yake ni HANDCENT NEXT SMS
 
Hahah! sio mimi tu ata wewe nakushauri utumie utakua hauingii bafuni na simu yako
Nani sasa anayeingia bafuni na simu yake mm sina madhambi ninayoficha hiyo app hainifai
 
Nani sasa anayeingia bafuni na simu yake mm sina madhambi ninayoficha hiyo app hainifai
App inakuoffer vitu vingi vingi tu sio sms pekee, Video zenu zile, Picha picha na mengine mengi
 
S
Siku hzi wameweka limit ya contacts 3 tu
Si kweli mkuu unaweka hata mia ni wewe tu cheki hiyo
Screenshot_20181222-151334.jpeg
 
Back
Top Bottom