Naomba msaada wa Application nzuri ya kuhide sms

Naomba msaada wa Application nzuri ya kuhide sms

ibesa mau

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2015
Posts
2,109
Reaction score
1,705
Wadau naomba msaada kwani naamini humu ndani wamejaa watalaamu .Hizi pattern huwa siziamini sana
 
Wadau naomba msaada kwani naamini humu ndani wamejaa watalaamu .Hizi pattern huwa siziamini sana
Me naona namna nzuri ni kuiblock namba ambayo unataka sms zake ziingie silence. zitaingi bila kiashiria chochote ila utakua una chungulia kwenye block sms kama zimeingia na kuzijibia hukohuko
 
Me naona namna nzuri ni kuiblock namba ambayo unataka sms zake ziingie silence. zitaingi bila kiashiria chochote ila utakua una chungulia kwenye block sms kama zimeingia na kuzijibia hukohuko
unajiungaje hyo app
 
Go SMS
Iyo ni App ya SMS hapo uta add private conversation kama una michepuko wote waweke private. Afu toa na pattern kabisa ujidai mwema kumbe HAKUNA ALIYE MWEMA
Go SMS
Iyo ni App ya SMS hapo uta add private conversation kama una michepuko wote waweke private. Afu toa na pattern kabisa ujidai mwema kumbe HAKUNA ALIYE MWEMA
sms zinaingia sehemu zote kiongozi
 
unajiungaje hyo app
Ukitaka kuifunga
Screenshot_20180512-110303.jpg
Screenshot_20180512-110306.jpg
Screenshot_20180512-110310.jpg
Screenshot_20180512-110322.jpg
Screenshot_20180512-110328.jpg
Screenshot_20180512-110331.jpg
 
Back
Top Bottom