Young Kibaka
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 319
- 46
asee vip kuhusu bachelor of sciece in forestry pale sua
vipi kuhusu nini
asee vip kuhusu bachelor of sciece in forestry pale sua
Natumia simu hivyo kitufe cha like sikioni,mkuu hapo ulipogusa ndio mtego uliotunasa wengi wetu! Wale mnaochagua mara ya pili kuweni makini na hilo!
ivi wale walioapply kw qualfction za diplom selection zao znatok lin wakuu!
wakuu samahan hvi uki click aplication icon karbu na program selected nin kinatokea katika akaunt yako? mana sielew
unakutana na neno "second round" pamoja na list ya vyuo ambavyo vina available slots.
Dawa ni kupitia list ya majina waliyoitoa TCU otherwise mnakuwa mnapoteza muda.
Kwenye ile list kuna wanafunzi wengi sana hivyo sio rahis kuona jina lako walichokosea ni kutokupanga majina kwa kufuatia mpangilio wa herufi wa majina yao.
wakuu samahan hvi uki click aplication icon karbu na program selected nin kinatokea katika akaunt yako? mana sielew
Kwenye ile list kuna wanafunzi wengi sana hivyo sio rahis kuona jina lako walichokosea ni kutokupanga majina kwa kufuatia mpangilio wa herufi wa majina yao.
inakuambia not yet done any application sielewi inamaana gan labda network error mkuu
i hope xo mkubwa...mana naskia mtandao wao unazngua xana xaxa sjui wengne tutajuaje kma wa round i mean second sesion au lah..mana hakuna kataarifa inayombia nifanye secnd kma ilvotokea kwa wingne
Mi mwenyewe course zangu nimeandikiwa procesed zote tano na kwa chini wakawa wameandika procesed succesful.you have been selected.ila nikajaribu kuclick sehem ya application nione kitatokea nn ndo yakaja maandish yanaxema not yet done application.nikajaribu kuangalia majina yote ya second round.sijaliona jina langu.na pale kenywe majina ya second round wameandika if your name or index no is not in this list you have been selected.wait for adimision.nahisi itakuwa ni matatizo ya kimtandao tu haujatulia.kwa navyojua kama ungekuwa huna vigezo hata sehemu ya selected program usingeiona baada ya kulogin.moja kwa moja ingekuambia you have not done any application
kazi ipo,hawa ndo wanafunz wa vyuo vikuu watarajiwa,hv mmepitaje pitaje huko?? We umeielewaje hyo sentensi?Hata mm inagoma wananiandikia you are successfuly selected.
hata mimi pia, nadhan ni sisi wenye diploma ndio hadi tar 12
Mi mwenyewe course zangu nimeandikiwa procesed zote tano na kwa chini wakawa wameandika procesed succesful.you have been selected.ila nikajaribu kuclick sehem ya application nione kitatokea nn ndo yakaja maandish yanaxema not yet done application.nikajaribu kuangalia majina yote ya second round.sijaliona jina langu.na pale kenywe majina ya second round wameandika if your name or index no is not in this list you have been selected.wait for adimision.nahisi itakuwa ni matatizo ya kimtandao tu haujatulia.kwa navyojua kama ungekuwa huna vigezo hata sehemu ya selected program usingeiona baada ya kulogin.moja kwa moja ingekuambia you have not done any application