Naomba msaada tafadhali

Naomba msaada tafadhali

Kwenwa

Member
Joined
Oct 9, 2021
Posts
18
Reaction score
63
Nina mdogo wangu kachaguliwa chuo Cha utumishi wa umma yaani Tanzania public service college kusomea certificate in secretarial studies

Sasa swali langu najiuliza akihitimu ataenda kufanya kazi wapi na Kama nani. mwenye kujua tafadhali anijuze

Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom