Naomba msaada Simu yangu p5 tecno inapoteza network

Naomba msaada Simu yangu p5 tecno inapoteza network

Kayabwe

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2012
Posts
402
Reaction score
108
Wadau nisaidieni simu yangu aina ya tecno p5 inapoteza network nikienda kijijini.Nikiwa mjini ina access vizuri lakini kijijini haikamati kabisa.Tumejaribu kuset network system lakini wapi.Simu ni mpya nimeinunua kama wiki moja iliyopita.Nisaidie wadau nifanye je??
 
Wadau nisaidieni simu yangu aina ya tecno p5 inapoteza network nikienda kijijini.Nikiwa mjini ina access vizuri lakini kijijini haikamati kabisa.Tumejaribu kuset network system lakini wapi.Simu ni mpya nimeinunua kama wiki moja iliyopita.Nisaidie wadau nifanye je??

Wewe ni boya ama unafanya kusudi, umekwenda haja kubwa sebulen?
 
Sasa mkubwa mbona matusi!!Sawa lkn mm naba msaada$!
 
Network problem ya area ulipo
 
mbona simu nyingine zinakamata best?
 
Hii mada peleka jukwaa husika utapata majibu mazuri. Huku umepotea uko jukwaa la siasa vichwa vya watu vimepata moto huku.
 
Back
Top Bottom