Jamani mweny ujuz kidogo na simu galaxy s4 imeji blok mtoto kachezea pattern nkiiwasha inaniambia nweke email na passwod na mm pass word skumbuki jamani km mtu anawez kunisaidia
Jamani mwenye ujuzi kidogo na simu, galaxy s4 imeji blok, mtoto kachezea pattern nkiiwasha inaniambia nweke email na passwod na mimi pass word sikumbuki jamani.
Naomba kama kuna mtu anakumbuka anisaidie tafadhari.
Mimi ninayo password yako, njoo kilimahewa guest nikupatie.Inaandik put ur email na paswod tatizo ipo kweny passwod ciikumbuki
Inaandik put ur email na paswod tatizo ipo kweny passwod ciikumbuki