ehee kumbe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2013
- 267
- 155
Samahani waungwa, natumia simu TECNO H5 toka wiki iliyopita kila nikibadilisha Berti au kutoa line nikiirudisha inakuwa haionyeshi majina na SMS mpaka kesho yake ndo inaonyesha, kwenye SMS inaandika hivi messages conversation. Leo toka asubuhi tatizo hili limejirudia hata simu nashindwa kupiga majina hayaonekani.
Naomba msaada wako, nifanyeje tatizo liishe
Naomba msaada wako, nifanyeje tatizo liishe