Naomba msaada, nimedisco chuo nifanyeje?

Naomba msaada, nimedisco chuo nifanyeje?

mr wilehard

Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
49
Reaction score
23
Wakuu poleni na majukumu.


Nina ndugu yangu hapa kashindwa kuendelea na chuo mwaka ujao wa masomo, alikuwa anachukua with education MKWAWA. Matokeo yake ya kidato cha sita mwaka 2015 ni

GEO B+
HIST B
ECO C
GS C
BAM F

1.ataruhusiwa kuaply tena chuo cha serikali kwa mwaka huu wa masomo?
2.je hapo anaweza chukua coz gani zenye soko?


Nawashukuru sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka kufikia kudisco alijisahau sana na kuishia kuiga maisha. Kuomba upya ataruhusiwa maana si mfumo wa TCU tena bali ni kuomba Chuo direct. Kuhusu koz ipi ya ajira akachukue ngoja wataalam waje.
 
Mpe pole sana. Hiyo ni sehemu tu ya maisha.

Utaratibu ulikuwa ukidisco, utasubiri miaka miwili ndipo uruhusiwe kuomba kudahiliwa tena katika taasisi ya elimu ya Juu.
Hii ni pale usajili ulipokuwa chini ya TCU.

Kwa sasa sijajua, kwa sababu usajili hufanyikia moja kwa moja chuoni. Cha Msingi, aende akaombe kwa baadhi ya vyuo na kisha muone nini kitafata.
 
Akafanye kilichomweka buzy hadi aka disco mkuu.
Shule haikuwa her first priority,
Hope atafanya vyema mno akiwekeza her full time kwa kilichomweka buzy hadi akafeli.


Umemuuliza ni kitu gani?
 
Akafanye kilichomweka buzy hadi aka disco mkuu.
Shule haikuwa her first priority,
Hope atafanya vyema mno akiwekeza her full time kwa kilichomweka buzy hadi akafeli.


Umemuuliza ni kitu gani?
jf inawaweka bussy kula sup sup sup za nguvu pole... gpa ya 1.8 umeikosa nahisi utakuwa na 1.2
 
Back
Top Bottom