kwa sababu unauliza maswali ya kinanihiii.........
well....nenda kwa dentist.....utasafishwa na jino moja ni kati ya elfu 25,000 na 30,000.....meno 32x30,000=960,000/=
Ile kitu kwa kawaida ni pure gold jino lote kabsa. Inatokana na athari ya madini mengi ya chlorine kwenye maji aliyokunywa utotoni!
USHAURI: Kama vp nenda kwa dentist,muombe angoe yote kisha amwekee artificial dental formula!