Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Jamani wana JF!Hatukatazi kutoa maoni yenu. Ndoto ni taaluma inayo ufafanuzi wake. Huyu jamaa ameomba maana ya hizo ndoto sasa kila mtu anatoa mtazamo wake kama si Great thinkers!Wenye hizi taaluma wanawaona lowest thinkers.Kama uliwahi kudanganywa ni wewe na huyo aliekutafsiria!!Mbaya zaidi hata alieota hizo ndoto hajasema kitu...anabaki njia panda hajui afuate maelezo ya nani? Maana ameuliza kwa yeyote ataemtafsiria hizo ndoto atoe ushahidi wake!Lazima tujifunze na kufanya uchunguzi ...si kuamka na kueleza vile unavyofikiri ...imeniumiza sana!.Kama ndio hivyo Mod aihamishie kule Jukwaa la Udaku.