Naomba msaada, ndoa imekua ndoana

mahirtwahir

JF-Expert Member
Jan 12, 2013
613
313
Habari zenu wana JF.
Sitaki kupoteza muda ngoja niweke dhumuni la uzi huuu.

Mwaka juzi niliamua kuweka dhamira ya kuengeza mke wa pili wa vile dini inaruhusu nikapata kimwari tukashawishiana ikabidi tuanze michakato ya ndoa.

Nikaenda kuposa kwa baba ake akaulizwa umeahakubali kua mke wa pili akajibu ndio baba mtu akanidai funicture ya milioninmoja na laki saba 1.7milion mi nikanunua vitu vyote walivyoniagiza alipokuja kumbiw mama mzazi wa mtoto hakufurahia mwanawe kuolewa mke wa 2 akasema kama sitotimiza mahari ndio njia ya kunichomolea nami kwa kua nilijipanga wakambulia patupu nikataka kuahairi mimi ila watu wakaninasihi na kuniambia sio vzr.

Nikaowa niko kwangu wife kapata ujauzito wakati anasumbuliwa na mimba changa mankwe kaja kamwambia mwanawe umerogwa na mke mwenzio wewe siku ya harusi mwanawe akambishia akamuambia unampenda sana mume wako hata mama ako humuamini mama mkwe katenda visa vingi hadi anamuambia kua mwanawe hatodumu ataachwa tuuu karibuni.

Nikasema poa nikaweka tumaini kwa baba kama mama hanipendi na wife tunaishi vzr juzi nimempigia simu baba ake nikamjulia hali akanimbia yuko hospitali ndungu yake kalazwa kwa vile mi niko mbali nikamuagiza dogo aende akawaone na awape kiasi kidogo cha fedha ameenda alpofika akaamua kumuachilia 10000 akamuambia baba hii itakusaidia kwa nauli basi alipoondoka yule mjumbe akampigia simu mwanawe (my wife) akamuambia " wewe na mume wako wajeuri tena wachoyo mume wako anamuambia mtu anipe 10000 mie itanisaidia nini naomba uje uchukuwe umpe mwenyewe"

Kwa kweli maneno hayo yamemuuma sana mwanawe ameniambia nikambembeleza sana amsamehw baba yake ila bado wife linamchoma na analia kila wakati na ukizingati kua hayupo na mie kwa sasa yuko kwao ameenda kujifungua.

Mke wangu ameniambia siku akisikia nimemgaiya mama ake ama baba yake hata mia basi mi na yeye tutagombana amesema hivi " Nisije kukusikia umempa mama ama baba angu hata shilingi ukimpa mimi na wewe tutatambuana "

Naombeni msaaada Ingekua kama si mtoto ningempa red ila mtoto atasumbuka hawezi kumtuza ( malezi ni ya baba na mama)

Piki mwanzo nilikua nikijitahidi kwa wazazi wake na kuwajali japo walikua wakinichukia ila nami sasa najisikia kuwachukia ?
 
Hongera mkuu kwa kufanya mathna ...

Ila pia msihi mkeo kuwafanyia wazazi wawili ihsaan ,na ndivyo tulivyofundisha ,hata kama watakuwa na mapungufu ila bado ni wazazi...

jaribu kumrai na kumpa maneno mazuri juu ya wazazi wake ,wala usiwe m'bomowaji baina yake na wazazi hata kama wanamapungufu


mungu akupe subra katika kipindi hiki kigumu
 
Hongera mkuu kwa kufanya mathna ...

Ila pia msihi mkeo kuwafanyia wazazi wawili ihsaan ,na ndivyo tulivyofundisha ,hata kama watakuwa na mapungufu ila bado ni wazazi...

jaribu kumrai na kumpa maneno mazuri juu ya wazazi wake ,wala usiwe m'bomowaji baina yake na wazazi hata kama wanamapungufu


mungu akupe subra katika kipindi hiki kigumu
Kaka nashkuru sana kwa kuonesha ni sahihi nifanyavyo
 
tuseme ukweli tu mkuu sasa we mke wa pili wa nini lakini? mbona hivyo?

hujui kuwa wazazi wa binti ni wako pia na wanahitajika kutunzwa na binti ?

elfu kumi halafu una wake wawili?

embu tunza wakwe zako bila wao usingepata hicho kimbunye

nimepata shida sana kukuelewa
 
Usije ukawachukia wazazi wake hata kidogo.Imeandikwa wapendeneni adui zenu.
Endelea kutimiza majukumu yako ipasavyo usioneshe kisasi wala chuki kwa njia hiyo baadaye watakupenda tu.
Utakapojaribu kuonesha umwamba na uadui dhidi yao hasa ma mkwe utakuwa umeharibu kila kitu na utaonekana mbaya kuliko wao.
Tambua kuwa kila mtu ana madhaifu yake usiwahukumu
Pia huwezi ukapendwa na kila mtu hata ufanyeje
Timiza majukumu yako kulingana na uwezo wako Mungu anakuona.
Mwisho:Share love to all people even if other hate you God sees you
 
Nipe namba ya shemeji aka mkeo niyaweke sawa na najuabmkeo atanipa namba ya baba na mama mkwe wako. Ujuwe kaka sio kila tatizo huwa linasuluhishwa....matatizo mengine huongezewa tatizo juu yake na automaticaly yanaisha. Gimme thy digits am gonna help you double their troubles and yall gonna be damn right.
 
Habari zenu wana JF.
Sitaki kupoteza muda ngoja niweke dhumuni la uzi huuu.

Mwaka juzi niliamua kuweka dhamira ya kuengeza mke wa pili wa vile dini inaruhusu nikapata kimwari tukashawishiana ikabidi tuanze michakato ya ndoa.

Nikaenda kuposa kwa baba ake akaulizwa umeahakubali kua mke wa pili akajibu ndio baba mtu akanidai funicture ya milioninmoja na laki saba 1.7milion mi nikanunua vitu vyote walivyoniagiza alipokuja kumbiw mama mzazi wa mtoto hakufurahia mwanawe kuolewa mke wa 2 akasema kama sitotimiza mahari ndio njia ya kunichomolea nami kwa kua nilijipanga wakambulia patupu nikataka kuahairi mimi ila watu wakaninasihi na kuniambia sio vzr.

Nikaowa niko kwangu wife kapata ujauzito wakati anasumbuliwa na mimba changa mankwe kaja kamwambia mwanawe umerogwa na mke mwenzio wewe siku ya harusi mwanawe akambishia akamuambia unampenda sana mume wako hata mama ako humuamini mama mkwe katenda visa vingi hadi anamuambia kua mwanawe hatodumu ataachwa tuuu karibuni.

Nikasema poa nikaweka tumaini kwa baba kama mama hanipendi na wife tunaishi vzr juzi nimempigia simu baba ake nikamjulia hali akanimbia yuko hospitali ndungu yake kalazwa kwa vile mi niko mbali nikamuagiza dogo aende akawaone na awape kiasi kidogo cha fedha ameenda alpofika akaamua kumuachilia 10000 akamuambia baba hii itakusaidia kwa nauli basi alipoondoka yule mjumbe akampigia simu mwanawe (my wife) akamuambia " wewe na mume wako wajeuri tena wachoyo mume wako anamuambia mtu anipe 10000 mie itanisaidia nini naomba uje uchukuwe umpe mwenyewe"

Kwa kweli maneno hayo yamemuuma sana mwanawe ameniambia nikambembeleza sana amsamehw baba yake ila bado wife linamchoma na analia kila wakati na ukizingati kua hayupo na mie kwa sasa yuko kwao ameenda kujifungua.

Mke wangu ameniambia siku akisikia nimemgaiya mama ake ama baba yake hata mia basi mi na yeye tutagombana amesema hivi " Nisije kukusikia umempa mama ama baba angu hata shilingi ukimpa mimi na wewe tutatambuana "

Naombeni msaaada Ingekua kama si mtoto ningempa red ila mtoto atasumbuka hawezi kumtuza ( malezi ni ya baba na mama)

Piki mwanzo nilikua nikijitahidi kwa wazazi wake na kuwajali japo walikua wakinichukia ila nami sasa najisikia kuwachukia ?
Rekebisha mwandiko kaka, hausomeki
 
Usije ukawachukia wazazi wake hata kidogo.Imeandikwa wapendeneni adui zenu.
Endelea kutimiza majukumu yako ipasavyo usioneshe kisasi wala chuki kwa njia hiyo baadaye watakupenda tu.
Utakapojaribu kuonesha umwamba na uadui dhidi yao hasa ma mkwe utakuwa umeharibu kila kitu na utaonekana mbaya kuliko wao.
Tambua kuwa kila mtu ana madhaifu yake usiwahukumu
Pia huwezi ukapendwa na kila mtu hata ufanyeje
Timiza majukumu yako kulingana na uwezo wako Mungu anakuona.
Mwisho:Share love to all people even if other hate you God sees you
Asante nashkuru kwa ushauri
 
Pole Mkuu kuwa na subra tu mambo yatakua sawa though sijakuelewa sana ulivyoandika
 
tuseme ukweli tu mkuu sasa we mke wa pili wa nini lakini? mbona hivyo?

hujui kuwa wazazi wa binti ni wako pia na wanahitajika kutunzwa na binti ?

elfu kumi halafu una wake wawili?

embu tunza wakwe zako bila wao usingepata hicho kimbunye

nimepata shida sana kukuelewa
Hehehehehehehehrh.

Mwenzio kajitutumilua kuoa 2
 
Back
Top Bottom