Naomba msaada, nakabwa na wachawi usiku

Naomba msaada, nakabwa na wachawi usiku

Habari zenu wadau, mimi naomba kujuzwa njia ya kujikinga na hawa wachawi wanaonitesa usiku, yaani unakabwa hadi ukishtuka unaona kichwa hakiko sawa, nimechoka sana na hawa wanga.
Naomba msaada niepukane na hili janga jamani.
Kuwa na utaratibu wa kuomba kutokana na imani uliyo nayo hata kama ni mpagani omba kwa kicho unachokiamini
 
Sio uchawi, hivyo epuka kulala chali!
Ila kama wewe unahisi ni wachawi na ulishawashuhudia basi jitahidi kuvaa helmet kubwa yenye kufunika hadi shingo!!
 
Vaa helmet wakija wakabe nawe usiwe mzembe wachawi ni maboya tu huwakaba waoga
 
wakianza kukukaba kichwa huwa kinakuwa na nguvu, hivyo akianza tu tikisa kichwa nakuhakikishia anaondoka fasta na haitakuwa mara kwa Mara
 
Sali sana, laini vile vile inaweza kuwa nza constriction ya blood supply kichwani ukiwa uelala.
Laweza kuwa tatizo la kitabibu hapo.
 
Back
Top Bottom